SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wanake wife material wana uchungu sana hela za waume zao
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu na mtuweIna maana Hersi kila kitu chake anamuonesha Manara? Hadi siri zake anampaa??
Duuuh makubwaa, sio kwa ukaribu huo walio nao, hongera zao.
Ila manara aache umbea, yeye yana muhusu nini?
Wao ni mwili mmoja hadi kifoMazoea ya ajabu sana, unawezaje kusoma SMS za mtu
Sahih Sana haji na wilison oruma wanachofanya Ni upumbafu mnoKwenye official page yake kule Instagram, Haji amepost nukuu ya meseji anayodai kuwa ni ya 'mchambuzi mmoja' anaeomba msaada wa kodi ya nyumba kwa kiongozi wa Yanga.
Sote tunafaham kuwa binadam yoyote anaweza kupatwa na shida na hivyo kumlazimu kuomba msaada kwa ndugu/jamaa. Sasa inashangaza sana kuona watu hawa wamekosa staha na kuamua kuweka public meseji za wenzao wenye kuhitaji msaada kwa vigezo cha 'eti wachambuzi wamekuwa wanaisema vibaya Yanga'.
Nashauri wajitathmini kabla hawajadharaulika mbele ya jamiiView attachment 2583330
Kwenye official page yake kule Instagram, Haji amepost nukuu ya meseji anayodai kuwa ni ya 'mchambuzi mmoja' anaeomba msaada wa kodi ya nyumba kwa kiongozi wa Yanga.
Sote tunafaham kuwa binadam yoyote anaweza kupatwa na shida na hivyo kumlazimu kuomba msaada kwa ndugu/jamaa. Sasa inashangaza sana kuona watu hawa wamekosa staha na kuamua kuweka public meseji za wenzao wenye kuhitaji msaada kwa vigezo cha 'eti wachambuzi wamekuwa wanaisema vibaya Yanga'.
Nashauri wajitathmini kabla hawajadharaulika mbele ya jamiiView attachment 2583330
Kufanya ugunduzi wa kujua kuwa pale utopoloni wamejaa macharlie champlin kama wewe napendekeza hili sanamu lijengwe pale Lugalo Jeshini ili lipate ulinzi dhidi ya member wa utopolo wasije kuliiba.Kunipigia hawa Wachambuzi uchwara wanaolipwa bila kazi yoyote zaidi ya umbea, nitachangia tofali 3000 ili upande juu zaidi.
Na ndio maana aliwasema hawana akili na baadae akawafuata hukohuko anazidi kuwatoa akili......Mtu mwenye akili timamu huwezi kujihusisha na Manara
Kama simba wanaakili kwanin mlimuajiri in first place sababu tabia za manara hata kabla hajawa msemaj wa simba zinajulikana tuachen unafkiNa ndio maana aliwasema hawana akili na baadae akawafuata hukohuko anazidi kuwatoa akili......
Akili mtu wangu
Madunduka watahakikisha linaanguka ndani ya 24hrsManara ajengewe sanamu
Akili unaweza kukosa wakati wowote. Kuna watu wanaweukia ukubwani. Unajifanya hujui kwa nini walimfukuza?Kama simba wanaakili kwanin mlimuajiri in first place sababu tabia za manara hata kabla hajawa msemaj wa simba zinajulikana tuachen unafki
Kwa hiyo manara amewehuka baada ya kwenda yanga hii kaliAkili unaweza kukosa wakati wowote. Kuna watu wanaweukia ukubwani. Unajifanya hujui kwa nini walimfukuza?
Wewe labda ulikuwa kijijini humjui Manara, tena Manara sasa hivi ndio amestaarabika.Akili unaweza kukosa wakati wowote. Kuna watu wanaweukia ukubwani. Unajifanya hujui kwa nini walimfukuza?
Huyo jamaa huwaga ni mshamba sana anabishaga mambo ambayo yako waziWewe labda ulikuwa kijijini humjui Manara, tena Manara sasa hivi ndio amestaarabika.
Hujawahi kumuona Manara kwenye majukwaa ya Ccm enzi za CUF ngangari, huyo kichwani hamna kitu, kwanza nilishangaa kusikia ameshinda ukatibu Mwenezi wa Ccm Dar, au labda Ccm walihitaji Fundi wa kutukana.
Acha tabia mbaya
Ni kweliConfi umeharibu kuleta JF. Wengine hiyo Instagram wala hawaijui, wameona hapa.
Ndo uwaanike?Huwez mponda mtu au taasis alafu mlango wa nyuma unaenda mlilia shida ni watu wachache sana watakushtiri wengi wao watatumia kama mwanya wa kukuzalilisha
Kikubwa ni kuwa na professional kwenye kazi zetu