Haji Manara, na umri wako wa zaidi ya miaka hamsini, unaenda kugombania kazi na akina Kamwe, Priva, na ubishane na Ahmed Ally

Njaa haina baunsa.
 
Wote wanaoreply hapa kwa kumponda huyo jamaa ni wana roho mbaya na kumchukia huyo mwamba.

Nimesoma na naendelea kusoma hizo replies zote naona zina chuki wala umri siyo sababu kabisa, hii ni ile hurka yetu ya kiafrika ya kumpinga mwingine kwenye kuutafuta mlo wa siku.
 
Ukweli lazima usemwe
 
Ns
Napia chuki hukaa kifuani mwa mjinga mimi sio yanga ila jamaa nahisi ni miongoni mwa hao vijana wameamua waje kivingine
 
Hivi huyo mzee watu hawammegei demu wake kweli
 
Aaahaaa
 
Hivi njaa kumuuma mtu inaishia miaka mingapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…