chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #41
Namhurumia sana Ally Kamwe na Priva, sijui kama walishafika Pangani, Kwa Msisi au Pemba, maana hizo ndio anga za Manara, atawapiga vyombo vya jadi na unga wa miti mpaka wachiziHuyo ni mzee wa fitna hakawii kuuza utu wake arudi kitengoni