Haji Manara: Nalipwa pesa nyingi, siwezi kuwa Chawa

Haji Manara: Nalipwa pesa nyingi, siwezi kuwa Chawa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

“Mimi nalipwa hela nyingi, sasa nawezaje kuwa Chawa Mtu mwenye Ubalozi wa Kampuni zaidi ya 20, nani ananiweza Nchi hii kwa Ubalozi? tena sio kampuni ndogo Mimi sitangazi nyanya ya kopo, mmeshawahi kuona nawaita kutangaza bidhaa ndogo?, Mimi natafuta maisha nahangaika napambana Mtu anaponitukana sasa nitamjibu nini?, nitawajibu wangapi”

“Waseme Mimi napiga hela, Mimi na Mke wangu kazi yetu ku-mantain brand, sisi tunapiga hela, wewe tukana, sema, wamesema juzi jana, leo naitwa hapa kuwa Balozi imenipunguzia au imeniongezea?, wakati mwingine Watu wakikusema wanainyanyua brand”

“Mimi siangalii nani ananisema nishavuka yaani, Mimi nishasemwa tangu niliposemwa hadi leo sijawahi kupungukiwa chochote yaani hata useme nini Mimi sihangaiki” ——

hayo ni majibu ya Haji Manara akijibu maswali ya Waandishi wa Habari katika mkutano wake akitangazwa kuwa Balozi wa Kampuni ya Surveyed Plot ambapo Waandishi walitaka kufahamu maoni yake kuhusu wale waliomuita kuwa Chawa wa GSM kutokana na mahojiano yake akiwa na Millard Ayo na Frida Amani.
 
Kama kuna kosa kubwa walilo lifananya GSM na Hersi ni kumleta huyu jamaa Yanga. Huyu jamaa nilishamkataa tokea kipindi yupo kwa mtani baada kumtukana Mwakalebela na tumbo lake. Yaani huyu pale Yanga hafai kuwa hata mlinzi getini.
 
Kama kuna kosa kubwa walilo lifananya GSM na Hersi ni kumleta huyu jamaa Yanga. Huyu jamaa nilishamkataa tokea kipindi yupo kwa mtani baada kumtukana Mwakalebela na tumbo lake. Yaani huyu pale Yanga hafai kuwa hata mlinzi getini.
Tuliwaambia😄 Kuna Wana Yanga ukianzia na Hersi walikuwa wakifurahia na kudhamini press conference zake za kuiponda Simba kipindi anahamia Kwao. Ndio dhambi ya USALITI ulivyo atasaliti na Yanga ili maandiko yatimie.VUMILIENI🤣🤣🤣
 
Tuliwaambia😄 Kuna Wana Yanga ukianzia na Hersi walikuwa wakifurahia na kudhamini press conference zake za kuiponda Simba kipindi anahamia Kwao. Ndio dhambi ya USALITI ulivyo atasaliti na Yanga ili maandiko yatimie.VUMILIENI🤣🤣🤣
Sasa uliniambia mimi ndiye mwenye maamuzi au mpira wa Yanga na Simba huujui hivi viongozi wajuu wakiamua wewe shabiki utafanya nini?
 

“Mimi nalipwa hela nyingi, sasa nawezaje kuwa Chawa Mtu mwenye Ubalozi wa Kampuni zaidi ya 20, nani ananiweza Nchi hii kwa Ubalozi? tena sio kampuni ndogo Mimi sitangazi nyanya ya kopo, mmeshawahi kuona nawaita kutangaza bidhaa ndogo?, Mimi natafuta maisha nahangaika napambana Mtu anaponitukana sasa nitamjibu nini?, nitawajibu wangapi”

“Waseme Mimi napiga hela, Mimi na Mke wangu kazi yetu ku-mantain brand, sisi tunapiga hela, wewe tukana, sema, wamesema juzi jana, leo naitwa hapa kuwa Balozi imenipunguzia au imeniongezea?, wakati mwingine Watu wakikusema wanainyanyua brand”

“Mimi siangalii nani ananisema nishavuka yaani, Mimi nishasemwa tangu niliposemwa hadi leo sijawahi kupungukiwa chochote yaani hata useme nini Mimi sihangaiki” ——

hayo ni majibu ya Haji Manara akijibu maswali ya Waandishi wa Habari katika mkutano wake akitangazwa kuwa Balozi wa Kampuni ya Surveyed Plot ambapo Waandishi walitaka kufahamu maoni yake kuhusu wale waliomuita kuwa Chawa wa GSM kutokana na mahojiano yake akiwa na Millard Ayo na Frida Amani.
Watu maarufu wana maisha magumu sana.
SASA hapo mpaka kamtaja mkewe?? huu tiyari ushakuwa mtihani,,,,,,,ngoja tuone,,,,,,
 
akili za maskini zinaona ili mtu aishi vizuri ni lazima ajenge ! Yaani ukaishi chanika utumie mafuta ya elfu 30 kila siku kuja na kurudi mjini wakati unaweza kukodi apartment ya sh 500000 lwa mwezi na ukaishi city centre vizuri tu
 
akili za maskini zinaona ili mtu aishi vizuri ni lazima ajenge ! Yaani ukaishi chanika utumie mafuta ya elfu 30 kila siku kuja na kurudi mjini wakati unaweza kukodi apartment ya sh 500000 lwa mwezi na ukaishi city centre vizuri tu
Bado tuna'mentality mbovu
 
Sasa uliniambia mimi ndiye mwenye maamuzi au mpira wa Yanga na Simba huujui hivi viongozi wajuu wakiamua wewe shabiki utafanya nini?
Nakupa Hali halisi. Kuna shabiki walikuwa wanakumbushana 'Leo Manara anazungumza' SASA wakumbushane ' Anaharibu'. Simba baada ya kugundua walibugi kumkaribisha Hadi chumbani walimmwaga Yanga wakambeba juu Kwa juu. Muda WA maumivu umefika wakaushe Tu.
 
Nakupa Hali halisi. Kuna shabiki walikuwa wanakumbushana 'Leo Manara anazungumza' SASA wakumbushane ' Anaharibu'. Simba baada ya kugundua walibugi kumkaribisha Hadi chumbani walimmwaga Yanga wakambeba juu Kwa juu. Muda WA maumivu umefika wakaushe Tu.
Nakuuliza Mo akisema Manara anarudi kwenu utafanyaje? Mimi sikutegemea wala kufikiria kwamba GSM na Hersi watamchukua Manara.
 
Nakuuliza Mo akisema Manara anarudi kwenu utafanyaje? Mimi sikutegemea wala kufikiria kwamba GSM na Hersi watamchukua Manara.
Haji hajawahi kumtukana GSM au Hersi wakati akiwa Simba lakini Haji amemtukana na kumkashifu sana Mo baada kwenda Yanga, sidhani kama Mo anaweza kuwa mjinga kumrudisha Haji, kwanza ili iweje?
 
Back
Top Bottom