Haji Manara: Nalipwa pesa nyingi, siwezi kuwa Chawa

Haji Manara: Nalipwa pesa nyingi, siwezi kuwa Chawa

Mtu anasema mimi nahangaika jasho linanitoka "kulinda brand" na "Ubalozi" wa bidhaa!
nadhani haya ni matusi kwa wapambanaji halisi!
 
Kama kuna kosa kubwa walilo lifananya GSM na Hersi ni kumleta huyu jamaa Yanga. Huyu jamaa nilishamkataa tokea kipindi yupo kwa mtani baada kumtukana Mwakalebela na tumbo lake. Yaani huyu pale Yanga hafai kuwa hata mlinzi getini.


Manara mpuuzi na mfitini sana, hovyo sana kuanzia tabia hadi sura. hovyo hovyo kabisa, hafai hata kidogo kuwa sio Yanga tu, timu yoyote, ana tabia chafu chafu.!!
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Back
Top Bottom