Haji Manara naye siku hizi hamnazo! Kumbe hakukosea!

Haji Manara naye siku hizi hamnazo! Kumbe hakukosea!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Kumbe Haji Manarà alikuwa sahihi aĺiposema mtu ukiwa yanga unajikuta kichwani hamnazo. Yeye mwenyewe yamemkuta hayo hayo!

Zilikoenda akili hata yeye mwenyewe hawezi kujua!! Utopolo sijui wanalogana namna gani!

 
Hivi mtu mzima meenye akili timamu ukikubali kufanya kazi kwa hiari yako mwenyewe kama dei waka, utawezaje kusema baada ya miaka mingi kuwa nawapeleka mahakamani?

Je ulitumikishwa ukiwa chini ya miaka 18 au? Maana ni mtoto tu ndiye hawezi kuingia makubaliano ya aina yoyote ile.

Haji Manara aliridhika kwa hiari yake kuwa dei waka wa simba japo hayo malipo ya siku moja moja aliridhia pia atunziwe ili aje kupewa mwishk wa mwezi.

Alipoingia tu utopolo akili yote imetopoleka na anajidhalilisha kwa kauli tofauti kila siku!!
 
Kumbe Haji Manarà alikuwa sahihi aĺiposema mtu ukiwa yanga unajikuta kichwani hamnazo. Yeye mwenyewe yamemkuta hayo hayo!

Zilikoenda akili hata yeye mwenyewe hawezi kujua!! Utopolo sijui wanalogana namna gani!

View attachment 1978212
Waambie watoto wa mjini hamnazo na ID yako fake,watu wanapiaaaa...
 
Back
Top Bottom