mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
-
- #41
Alifungiwa kujihusisha na mpira na sio kuisemea Yanga, mpira una taratibu zake, na mamlaka inayosimamia inaweza kumfungia mtu yoyote bila kujali kama ni mwajiliwa wa timu fulaniAlifungiwa vipi na FAT kama si muajiriwa wa Yanga?
Ahmed Ally ni Yanga lialia lakini anafanyakazi Simba.Kumbe Mzee magoma alikuwa sawa, kuna watu ndio wamejipa umiliki wa timu yetu, wanaamua vyenye wanapenda wao.
Hyu manara baada ya kufukuzwa huko Simba ndio alikuja Yanga na leo anajifanya anaijua sana Yanga.
Kama GSM wanampenda sana huyu mtu si wampe u CEO wa Kampuni yao(GSM)?
Popote pale ulipo Mwananchi acha kununua jezi mpya paka Manara aondoshwe mara moja..
#Manara out#
Mbona juzi haukupewa tuzo ya Kiswahili badala yake wameenda kupewa hao unaodai wanapendwa na majini?= ninavyosikia
= wanaoambiwa
Kwanza jifunze Kiswahili, hakuna hayo magaga kwenye Kiswahili. Ukijuwa kuandika Kiswahili utajuwa hata kuelewa kilichoandikwa.
Hii imekaa vizuri na imeeleweka.Kitu msichoelewa ni kuwa ukoo wa GSM una uhusiano mkubwa na majinni. Majinni tu ndiyo wanaelewa umuhimu wa kuwa na albino katika mambo yao.
Imeana = imeanzaKwani aliwacha kazi lini Yanga?
Yanga imeana kupata mafanikio alipoingia Haji Manara hapo, msisahau hilo.
Duh!....hii kali Sasa....Kitu msichoelewa ni kuwa ukoo wa GSM una uhusiano mkubwa na majinni. Majinni tu ndiyo wanaelewa umuhimu wa kuwa na albino katika mambo yao.
Et nini???Kitu msichoelewa ni kuwa ukoo wa GSM una uhusiano mkubwa na majinni. Majinni tu ndiyo wanaelewa umuhimu wa kuwa na albino katika mambo yao.
NilikuwA Sijui Lolote, Shukrani Mkuu Kwa UfafanuziKitu msichoelewa ni kuwa ukoo wa GSM una uhusiano mkubwa na majinni. Majinni tu ndiyo wanaelewa umuhimu wa kuwa na albino katika mambo yao.
😁🤣😂Yanga bingwa!
GSM Anafanya Biashara Yanga Sijaona Tatizo
KwaniniSo sad to ali kamwe
AlitengwaKwanini