mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Jerry Muro umemsikia Manara? Je ni kweli hayo asemayo Manara?Mbona inafahamika
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jerry Muro umemsikia Manara? Je ni kweli hayo asemayo Manara?Mbona inafahamika
Ngoja niende huko ole usinifuateSitaki niache nivinjari public huko inbox sikutaki.
Wapi hapo mkuu ili niwaeleze waje?Tundu lisu alikuwa kuwa na ushahidi kuwa anaumwa mahakamani lakini ushahidi wake mukaukataa mkampora Ubunge mchana kweupe, wewe ndiyo unaiharibu JF kwa kuitumia vitisho vyako vya kudai ushahidi wakati CCM ushahidi huwa hausilikilizwi kamwe.location njoo nipo hapa ilipo Hospt ya janga la Dunia
Ni kweli kupiga kelele na kuthibitisha ni mambo mawili tofautiUkiambiwa utoe ushahidi huna. Nyinyi ndiyo mnaiharibu JF. Leo Melo kapigwa faini kwa vitu kama hivi naomba awape tu location yako ili ukathibitishe ukisemacho!
uzi umetamalaki harufu ya inyaa😂Mbona inafahamika Jerry ni.....Siri hakuna hapa duniani.
Kachukue viza ubalozi wa china kwanza ukipata niambie nikutumie tiketi uje hapa na vitisho vyako tuoneWapi hapo mkuu ili niwaeleze waje?
OkayKachukue viza ubalozi wa china kwanza ukipata niambie nikutumie tiketi uje hapa na vitisho vyako tuone
Watetezi wa ccm mitandaoni wakiona unaenda kutoa siri zaidi huanza vitishoHakuna siri jamaa ni Volkswagen, gari ya mjerumani yenye injini nyuma.
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Na wewe unatishika mkuu! Minyoo sijawahi ona inatishika yenyewe mbele kwa mbele!Watetezi wa ccm mitandaoni wakiona unaenda kutoa siri zaidi huanza vitisho
Watetezi wa ccm mitandaoni wakiona unaenda kutoa siri zaidi huanza vitisho
Ujue mleta mada ni mzee wa kutoka kolomije sasa mjibu kitakwimu aacha kuisifia simba wakati Azam mtibwa yanga huifunga simba kiwepesi tuBadala ya kumtukana muro , unatukana club ya watu! Huna akili
Hahahaaaaa....... Hii vita siyo ya kitoto!Yani kisa kuambiwa yy ni mwl wa madrasa ndio povu lote hilo. Akubali yy hamuwezi jerry muro View attachment 1412790
Umeona hapo anashusha aya halafu anaona kadharauliwa kuitwa mwl wa madrasaHahahaaaaa....... Hii vita siyo ya kitoto!