Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Tundu lisu alikuwa kuwa na ushahidi kuwa anaumwa mahakamani lakini ushahidi wake mukaukataa mkampora Ubunge mchana kweupe, wewe ndiyo unaiharibu JF kwa kuitumia vitisho vyako vya kudai ushahidi wakati CCM ushahidi huwa hausilikilizwi kamwe.location njoo nipo hapa ilipo Hospt ya janga la Dunia
Wapi hapo mkuu ili niwaeleze waje?
 
Ukiambiwa utoe ushahidi huna. Nyinyi ndiyo mnaiharibu JF. Leo Melo kapigwa faini kwa vitu kama hivi naomba awape tu location yako ili ukathibitishe ukisemacho!
Ni kweli kupiga kelele na kuthibitisha ni mambo mawili tofauti
 
Mambo binafsi yapi? Ukiingia kwenye mpira unapigwa kotekote usichague makonde.

Kama Jerry anaoudhaifu ambao Haji kwake ni mtaji ammalize, lkn ukipewa za uso unalialia kuomba msaada kwa wengine.

Jerry akitoa scud moja tu, Haji huweweseka muda wote. Kuna kipindi waliitwa wote studio za CLOUDS FM kipindi cha sports Extra , Haji alipofika akamwaga yake alipoambiwa subiri Basi Jerry anakuja mjibishane hoja kwa hoja .akagoma na kuondoka.

Hao anaosema marafiki zake Jimmy Kindoki anasema alimpa makavu live mpaka Kamblock Instagram, hakuna asiye Jua Haji hupenda kuwa " mfalme wa kushambulia wenzake" akikutana na KIGINGI anatapatapa mno mpaka HURUMA.
 
Hakuna siri jamaa ni Volkswagen, gari ya mjerumani yenye injini nyuma.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Watetezi wa ccm mitandaoni wakiona unaenda kutoa siri zaidi huanza vitisho
 
Watetezi wa ccm mitandaoni wakiona unaenda kutoa siri zaidi huanza vitisho
Na wewe unatishika mkuu! Minyoo sijawahi ona inatishika yenyewe mbele kwa mbele!
 
Badala ya kumtukana muro , unatukana club ya watu! Huna akili
Ujue mleta mada ni mzee wa kutoka kolomije sasa mjibu kitakwimu aacha kuisifia simba wakati Azam mtibwa yanga huifunga simba kiwepesi tu
 
Sahizi mnampamba huyu mzungu akija kubomolewa tena mnaanza kulia pamoja!
 
Back
Top Bottom