Jana tumefanikiwa kucheza AFCON na wote tumekimbilia kumpongeza Makonda huku tukimsahau mhamsishaji mkuu ambaye amefanikiwa kuwafanya watu waelewe na kukubali kuwa "Inawezekana",Yes,We can!!
Haji ametia hamasa mpaka Simba imeingia robo fainali na naona mwamko huyo umetusaidia kwa Taifa Stars.
Haji Manara,Shujaa wangu!
Haji ametia hamasa mpaka Simba imeingia robo fainali na naona mwamko huyo umetusaidia kwa Taifa Stars.
Haji Manara,Shujaa wangu!