Haji Manara: "Simba ndio wa Kimataifa"

Kwani samata wakati anaenda ulaya alikuwa wa simba.? Si ametokea TP Mazembe?
 
Yanga jifunzeni kuongea kwa data.Manara katoa data za simba,toeni na zenu tulinganishe nani wa kimataifa na nani wa kitaifa zaidi.
Data zenyewe uongo. Yeye kasema sunday manara wakat anaenda ulaya alitokea pan. Hapo hapo kamjumuisha samata kwenda genk kama ametokea Simba
 
We jamaa kumbe pamoja na kuwa ccm ila unaipenda simba
 
Hapa ni record za simba vs yanga.....Tp mazembe anaingiaje tena? Mnatafuta chaka?
Sawa. Maana yangu ni kwamba hizi record hazitusaidii kitu. Yanga kawa bingwa wa Tanzania mara nyingi zaidi lakini haijasaidia kutwaa ubingwa wa Africa.
Sasa record eti timu ya kwanza kuwa na jengo.
 
Kwakua mpaka sasa,yanga wameshindwa kutoa data zinazovunja record za simba.Nashauri hivi,Yanga mwaka huu angalau mfike robo fainali ili tuanze kuwapa hiyo heshima ya KIMATAIFA.
 
Si busara kutukana timu ambayo ndiyo iliyojenga jina la Nchi kimataifa eti kwasababu ya kukosa ubingwa.Tujenge heshima kwa wanaotuzidi na tujifunze kwao.Sisi simba tunasema hivi,Yanga bado ni timu isiyo na record kimataifa hivyo HAISTAHILI KUJIITA YA KIMATAIFA.Acheni ushabiki wa kupelekwa na taahira Muro.
 
Mchezaji anaitwa International kama anachezea timu ya taifa lake kwa wakati huo. Hali kadhalika, timu ni kimataifa au international kama inashiriki mashindano ya kimataifa wakati huo. Siyo hali ya kudumu. Inaenda na hali halisi kwa wakati husika.
 
Tuendelee kujivunia wachezaji wetu wawe yanga au simba hao waliotajwa 90%wamecheza Asia!
 
Nonda
Mnawakumbuka hawa: Peter Manyika, Ali Mayai, Salvatory Edward, Bakari Malima, Sekilojo Johnson Chambua, Ephraem Makoye, Edibily Jonas Lunyamila, Kali Ongala. Tajeni wengine wakuu kikosi hiki cha 1998-1999.

Uniambii kitu kuhusu YANGA!!
Nonda shabani"papii"hahusiki hapo?
 
Kweli watani wetu wa mchangani wechanganyikiwa na kukosa hoja.
Kweli mtu anajisifia eti kuvaa suti kwa mara ya kwanza ni historia katika soka?
Halafu anaita ni fact na mashabiki wa mchangani walivyo mapopoma wanashangilia!
Endeleeni kujivunia historia zenu hadi za kuvaa viatu kwa mara ya kwanza huku wenzenu wa kimataifa tunazidi kuchanja mbuga kimataifa.
 
kwanza manara kapotosha uma Timu yake ya 36 yanga 35 inamaana yanga haikushiriki mashindano mwaka huo

pili jengo la yanga ndiyo la kwanza ndiyo likajengwa la simba huo uongo akawadanganye wa matopeni wenzake
 
mkuu tupe data kama za Manara , usizunguke sana utani wa jadi unanoga mtu akitoa data na wewe unakuja na data
 
mkuu tupe data kama za Manara , usizunguke sana utani wa jadi unanoga mtu akitoa data na wewe unakuja na data
Data gani?Za kuvaa suti/viatu kwa mara ya kwanza?
Hili ni soka,nadhani tungejadili kuhusu data za kisoka zaidi.

Subiri msemaji wetu msomi ALIYETUKUKA Gerry Muro atakapotoa data za kisomi,sio hizo za STD 7 za Manara.
 
Subiri msemaji wetu msomi ALIYETUKUKA Gerry Muro atakapotoa data za kisomi,sio hizo za STD 7 za Manara.[/QUOTE]
hana data yeyote yule,
 
Nimemskia Afisa Hbr Wa Simba HAJI MANARA, Akiwa Studio Za Efm Redio, Jamaa Ametulia Mno, Sikusikia Akiropokwa Na Kupayuka Hovyo, Hata Kufikia Kung'an'ania Kuongea, Kama Anapokuwa Msemaji Mmoja Wa Klabu Fulani!! Studio Uwa Makelele Tupu, Hoja Zenyewe Hazina Mashiko, Lkn Kila Mara Ataomba Aongee 'Yeye Tu!! Kongole Kwako Afisa Hbr Wa Simba!!!
 
Data gani?Za kuvaa suti/viatu kwa mara ya kwanza?
Hili ni soka,nadhani tungejadili kuhusu data za kisoka zaidi.

Subiri msemaji wetu msomi ALIYETUKUKA Gerry Muro atakapotoa data za kisomi,sio hizo za STD 7 za Manara.
Je, Anaposema Nenda Ktk Website Ya CAF, Ukaperuzi Ili Upate Kujua CAF Ktk Ukanda Wa East Africa Inaitambua Klabu Gani Kuwa Ndio Yenye Mafanikio!!!?? Hilo Limethibitishwa Na Katibu Mkuu Wa TFF Na Mchezaji Nguli Wa Zamani Na Mpenzi Wa Yanga, Ally Mayai Tembele, Wakihojiwa Na Mtangazaji Wa Efm Redio Asbh!! Sasa Pinga Kwa Asili Yako Ya Ubishi Tu!!! LKN Hoja Ya Kupingia Hauna Ww Na Hata Viongozi Wenu!!!
 
Kweli Mpira Umeingia VILAZA!!!! Hivi History Sio Sehemu Ya Soka Kweli!!!!?? Haya Huo Wakimataifa Wenu Kwa Miaka Ambayo Mnashiriki Kwa Kuiwakilisha Tanzania, Ni Mafanikio Yepi Ambayo Mmeyafikia!!?? Zaidi Kuishia Raundi Ya Kwanza Au Pili Tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…