Haji Manara, sisi mashabiki wa Yanga SC hatukutaki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Haji Manara kaja hapo kwa swahiba yake Ghalib ambaye ndiye anayeiweka Yanga kwenye chati wewe ni nani hata umkate swahiba wa tajiri kubwa? Mtake msitake Haji yupo sana tu japo ni mpenzi wa Simba, cha kumfanya hamna,masikini hana kiapo.
 
NARUDIA TENA HAJI MANARA HATUKUTAKI YANGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…