sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,171
- 4,295
Zama za Haji Manara zinaelekea mwishoni. Kwa sasa awepo au asiwepo kwenye jambo hakuna kinachoongezeka wala kinachopungua.
Sasa ameamua kupambana na wakati hataki kuonekna yeye ni ziada.
Anatumia njia zile zile za miaka yote kukanyaga vichwa vya wenzie ili yeye apande juu.
This time naona anaenda kuchemka. Upande aliopo kuna culture tofauti ya mashabiki.
Asilazimishe umuhimu atulie aanze kujiandaa kujaribu taaluma nyingine.
Tunajua nje ya Yanga na Simba hana ishu anategemea ukubwa wa hizi brand kusafiria nyota. TV yake imefeli sababu hana maudhui amezoeleka ni mtu wa kushambulia watu kutumia mgongo wa hizi club kubwa nje ya hapo atafanya tour Marekani au mwezini ila nobody cares.
Manara usipostuka utaaga kazi yako kwa aibu.
Muda wako ushapita kubali matokeo.
Sasa ameamua kupambana na wakati hataki kuonekna yeye ni ziada.
Anatumia njia zile zile za miaka yote kukanyaga vichwa vya wenzie ili yeye apande juu.
This time naona anaenda kuchemka. Upande aliopo kuna culture tofauti ya mashabiki.
Asilazimishe umuhimu atulie aanze kujiandaa kujaribu taaluma nyingine.
Tunajua nje ya Yanga na Simba hana ishu anategemea ukubwa wa hizi brand kusafiria nyota. TV yake imefeli sababu hana maudhui amezoeleka ni mtu wa kushambulia watu kutumia mgongo wa hizi club kubwa nje ya hapo atafanya tour Marekani au mwezini ila nobody cares.
Manara usipostuka utaaga kazi yako kwa aibu.
Muda wako ushapita kubali matokeo.