Haji Manara soma alama za nyakati kabla haujastaafu kwa aibu

Haji Manara soma alama za nyakati kabla haujastaafu kwa aibu

Si ndo alimwambia prisca ana pua kama gunzi...
Namkubaligi sana prisca kishamba yupo vizuri na nimpambanaji. Anakutana na mengi ila hakati tamaa nadhani walio nyuma yake wanamshauri vizuri.
 
Namkubaligi sana prisca kishamba yupo vizuri na nimpambanaji. Anakutana na mengi ila hakati tamaa nadhani walio nyuma yake wanamshauri vizuri.
Sana huwa anajitahidi sana hata kama huwa anakosea hapa na pale kama binadamu.
 
Bongo shida, sana, huyu jamaa kipimdi akiwa Simba, Ali kuwa, mtu wa maaana sana, sasa, kumbe ule u maana wote Ali kuwa anabebwa na Simba team! Kwa caliber yake, huyu jamaa ilibidi akatangaze super sport, awe mchambuzi wa kimataifa,lakini utakuta shule ndogo! Lugha haipandi, Ali kuwa anaishi, kiujanja ujanja tu!
Mbwe mbwe zote zile hazivuki mipaka,
DSM, kulikuwa na mkutano, kongamano kuhusu chakula, MC wa, shughuli ile, alikuwa Rally MadowoMadowo Mtangazaji wa CNN kutoka Kenya, hapo ndio uone umuhimu wa shule na exposure! Najiuliza, hawa kenge na chawa wa CCM, Kitenge, Zembwela, Hando, hawakuiona hii deal? Au lugha haipandi? Au, wao, wanachojua ni kufsnya maigizo kama futuhi uarabuni, kuipamba DPworld,!?
Waje watuambie, kama wao, ni miamba mbona deal kama hii, nafasi pekee ya kushine duniani, imewapita?
Harrafu kuna, kenge atakuja anakuambia shule sio lazima! Mbona Diamond hajasoma na ana pesa.?
 
Kiuhalisia Yanga haimuitaji tena manara. Ali kamwe anatosha na kwa upande wa simba ahmed ally anatosha. Ukienda azam kuna ibwe. Kiufupi aende pale kishamba Tv kuwa mchambuzi nadhani prisca atamlipa vizuri.
[emoji23][emoji23] mishahara 200k kwa mwezi
 
Kwani YY kwenye timu anacheza namba ngapi?
 
Binafsi Mimi naenda mbali kidogo, natamani hata afe, huyu mbwa. Simpendi hata siku moja. Nikisikia amekufa basi mnishtue nimwage bia zakutosha
 
Mda utaongea kati yako ww ulieanzisha uzi kumponda sjui kumshauri manala na uyo manara wako mda utatoa majb sahihi
 
Hebu fikiria ile pua yake ilivyo pana kama pazia la leba.Hapo hatujaenda kugonga panapomuumaga hasa mpaka analia kwa Serikali.
Na yale meno yake, utadhani whitedent hazitengenezwi kiwandani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom