Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Namkubaligi sana prisca kishamba yupo vizuri na nimpambanaji. Anakutana na mengi ila hakati tamaa nadhani walio nyuma yake wanamshauri vizuri.Si ndo alimwambia prisca ana pua kama gunzi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkubaligi sana prisca kishamba yupo vizuri na nimpambanaji. Anakutana na mengi ila hakati tamaa nadhani walio nyuma yake wanamshauri vizuri.Si ndo alimwambia prisca ana pua kama gunzi...
Sana huwa anajitahidi sana hata kama huwa anakosea hapa na pale kama binadamu.Namkubaligi sana prisca kishamba yupo vizuri na nimpambanaji. Anakutana na mengi ila hakati tamaa nadhani walio nyuma yake wanamshauri vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] prisca na manara ni chui na paka.Si ndo alimwambia prisca ana pua kama gunzi...
Akiambiwa yeye anajitia huruma mlemavu.Manara kwa upande wa uumbaji hapaswi kabisa kukosoa wengine.Mbona na yeye pua yake ni majanga au huwa hajioni?
Wanagombea nin???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] prisca na manara ni chui na paka.
Hebu fikiria ile pua yake ilivyo pana kama pazia la leba.Hapo hatujaenda kugonga panapomuumaga hasa mpaka analia kwa Serikali.Akiambiwa yeye anajitia huruma mlemavu.
[emoji23][emoji23] mishahara 200k kwa mweziKiuhalisia Yanga haimuitaji tena manara. Ali kamwe anatosha na kwa upande wa simba ahmed ally anatosha. Ukienda azam kuna ibwe. Kiufupi aende pale kishamba Tv kuwa mchambuzi nadhani prisca atamlipa vizuri.
Hata tunajua bas, kila mtu anasema ana siri nyeti za mwenzie, kuzitoa wanaogopa.Wanagombea nin???
Na yale meno yake, utadhani whitedent hazitengenezwi kiwandani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu fikiria ile pua yake ilivyo pana kama pazia la leba.Hapo hatujaenda kugonga panapomuumaga hasa mpaka analia kwa Serikali.
Kwa nin unamchukia kwa kiwango hicho shida nin???Binafsi Mimi naenda mbali kidogo, natamani hata afe, huyu mbwa. Simpendi hata siku moja. Nikisikia amekufa basi mnishtue nimwage bia zakutosha