Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,985
Sitaki akili yangu wala ya msomaji yeyote itilie manani juu ya uwezo wako kichwani, elimu yako, makuzi yako wala jamii yako.
Itoshe tu kusema staha ni jambo muhimu sana kwa binaadamu yeyote yule mwenye akili na utashi. wewe sio mmoja wapo mwenye staha. Unaropoka sana. inakera.
Dunia ni kijiji, japo sijui Tanzania ipo sehemu gani ya hicho kijiji kama ni mjini au kijijini mwa kijijini. Juzi tumeshuhudia ligi kuu mbalimbali barani ulaya na kwinginepo duniani zikitia tamati na mabingwa wakitangazwa.
Ligi yetu pendwa pale lwa malikia imeisha na city kuwa bingwa hatujamsikia msemaji wa klabu ile akipayuka hovyo kama Manara. Tuseme hayupo? Ligi ya mabingwa ulaya madrid wamechkua ndoo mara tatu mfululizo hatujamsikia msemaji wao akiropoka kama ufanyavyo manara.
Kote duniani, kazi za ma PR ni kutengeneza postive emergies za taasisi zao. sio mipasho wala kuropoka kama afanyavyo Manara.
sasa linakuja suala la usajili. manara wewe haupo kwenye benchi la ufundi, unaliongelea suala la isajili kutoka kwenye pembe ipi ya mpira?
Wandishi wa habari wa tanzania jirekebisheni? hivi unapomhoji masau bwire kuhusu kikosi cha jkt ruvu unatengeneza picha gani wakati kocha yupo.
haji manara jitathimini mkuu, unajidhalilisha na kuudhalilisha mpira.
Unakera
Itoshe tu kusema staha ni jambo muhimu sana kwa binaadamu yeyote yule mwenye akili na utashi. wewe sio mmoja wapo mwenye staha. Unaropoka sana. inakera.
Dunia ni kijiji, japo sijui Tanzania ipo sehemu gani ya hicho kijiji kama ni mjini au kijijini mwa kijijini. Juzi tumeshuhudia ligi kuu mbalimbali barani ulaya na kwinginepo duniani zikitia tamati na mabingwa wakitangazwa.
Ligi yetu pendwa pale lwa malikia imeisha na city kuwa bingwa hatujamsikia msemaji wa klabu ile akipayuka hovyo kama Manara. Tuseme hayupo? Ligi ya mabingwa ulaya madrid wamechkua ndoo mara tatu mfululizo hatujamsikia msemaji wao akiropoka kama ufanyavyo manara.
Kote duniani, kazi za ma PR ni kutengeneza postive emergies za taasisi zao. sio mipasho wala kuropoka kama afanyavyo Manara.
sasa linakuja suala la usajili. manara wewe haupo kwenye benchi la ufundi, unaliongelea suala la isajili kutoka kwenye pembe ipi ya mpira?
Wandishi wa habari wa tanzania jirekebisheni? hivi unapomhoji masau bwire kuhusu kikosi cha jkt ruvu unatengeneza picha gani wakati kocha yupo.
haji manara jitathimini mkuu, unajidhalilisha na kuudhalilisha mpira.
Unakera