Soka Ndio Maisha Yangu
Member
- Nov 27, 2024
- 43
- 127
Cjui wanayanga mumsikilize nani, Manara Yuko Wasafi badala ya kuhamasisha watu waende uwanjani kesho yeye anatamba Simba haitofunga Yanga hadi mwaka 2030, huyu mwenzake naye kavalia bukta na mjezi wa Yanga akiwa na wapambe wake wameingilia Crown FM ambayo Manara hawezi kwenda kwa sababu Yuko hasimu wake Jemedari Saidi.
KAZI kwenu Wana Yanga msikilize Wasafi FM SImba ikinangwa au msikilize Crown Mazembe akishangaa Gusa Achia Twende Kwao.
This is unprecedented!
KAZI kwenu Wana Yanga msikilize Wasafi FM SImba ikinangwa au msikilize Crown Mazembe akishangaa Gusa Achia Twende Kwao.
This is unprecedented!