Hajji Manara anatatizo linalohitaji tiba

Hajji Manara anatatizo linalohitaji tiba

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa mashabiki wa Simba.

Simba ilikula 5,Zahera alikuwa Shinyanga kucheza na stand

Simba ilikula 5 ,Zahera alikuwa Tanga

Then,Haji anasahau kuwa Zahera ni Mcongo na Ibenge ni boss wake kwenye national team ya Congo na amekuwa naye kwa muda kila anapokwenda hata Ibenge alipokuwa kocha china alimchukua Zahera.

Kambi ya Yanga tulipoenda kucheza na Usm algers Saimon Msuva alitembelea kambi kuwapa hi waTz wenzake kuna ubaya gani Zahera kwenda kuonana na Ibenge na wachezaji ambao atakuwa nao national team,yaani aogope kisa kuonekana atampa siri za SImba,hizo+255 mlizokula yeye ndo kachangia?

Zahera anaweza kwenda kesho uwanja wa taifa halafu,Simba wakapoteza game halafu mashabiki wakareact na kumdhuru Zahera kwa sumu hizi za Hajji maana wengi ni mbumbumbu according to Ragge,nini kitatokea na mashabiki wa Yanga wakiamua kumtetea kocha wao? Huyu Hajji Usilazimishe game ya Simba kuifanya kama ni national team,pambaneni na mambo yenu wenyewe.

Na siku moja kauli na maandishi ya hili jinga yatamponza,eti anataka naye kugombea ubunge,duuh

Hii siyo timu ya taifa,pambaneni acheni kutafuta pakutokea mambo yakienda kombo
 
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa mashabiki wa Simba.

Simba ilikula 5,Zahera alikuwa Shinyanga kucheza na stand

Simba ilikula 5 ,Zahera alikuwa Tanga

Then,Haji anasahau kuwa Zahera ni Mcongo na Ibenge ni boss wake kwenye national team ya Congo na amekuwa naye kwa muda kila anapokwenda hata Ibenge alipokuwa kocha china alimchukua Zahera.

Kambi ya Yanga tulipoenda kucheza na Usm algers Saimon Msuva alitembelea kambi kuwapa hi waTz wenzake kuna ubaya gani Zahera kwenda kuonana na Ibenge na wachezaji ambao atakuwa nao national team,yaani aogope kisa kuonekana atampa siri za SImba,hizo+255 mlizokula yeye ndo kachangia?

Zahera anaweza kwenda kesho uwanja wa taifa halafu,Simba wakapoteza game halafu mashabiki wakareact na kumdhuru Zahera kwa sumu hizi za Hajji maana wengi ni mbumbumbu according to Ragge,nini kitatokea na mashabiki wa Yanga wakiamua kumtetea kocha wao? Huyu Hajji Usilazimishe game ya Simba kuifanya kama ni national team,pambaneni na mambo yenu wenyewe.

Na siku moja kauli na maandishi ya hili jinga yatamponza,eti anataka naye kugombea ubunge,duuh

Hii siyo timu ya taifa,pambaneni acheni kutafuta pakutokea mambo yakienda kombo
Simba ni timu kubwa ila haina msemaji, mwenye sifa za kuisemea Timu.Manara anaongea kama mtu wa siasa na si Timu kama Simba. Ata sababisha maafa kwenye mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa mashabiki wa Simba.

Simba ilikula 5,Zahera alikuwa Shinyanga kucheza na stand

Simba ilikula 5 ,Zahera alikuwa Tanga

Then,Haji anasahau kuwa Zahera ni Mcongo na Ibenge ni boss wake kwenye national team ya Congo na amekuwa naye kwa muda kila anapokwenda hata Ibenge alipokuwa kocha china alimchukua Zahera.

Kambi ya Yanga tulipoenda kucheza na Usm algers Saimon Msuva alitembelea kambi kuwapa hi waTz wenzake kuna ubaya gani Zahera kwenda kuonana na Ibenge na wachezaji ambao atakuwa nao national team,yaani aogope kisa kuonekana atampa siri za SImba,hizo+255 mlizokula yeye ndo kachangia?

Zahera anaweza kwenda kesho uwanja wa taifa halafu,Simba wakapoteza game halafu mashabiki wakareact na kumdhuru Zahera kwa sumu hizi za Hajji maana wengi ni mbumbumbu according to Ragge,nini kitatokea na mashabiki wa Yanga wakiamua kumtetea kocha wao? Huyu Hajji Usilazimishe game ya Simba kuifanya kama ni national team,pambaneni na mambo yenu wenyewe.

Na siku moja kauli na maandishi ya hili jinga yatamponza,eti anataka naye kugombea ubunge,duuh

Hii siyo timu ya taifa,pambaneni acheni kutafuta pakutokea mambo yakienda kombo
Umeitoa UFM bila kuacknowledge umeyafanya kuwa ni mawazo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa mashabiki wa Simba.

Simba ilikula 5,Zahera alikuwa Shinyanga kucheza na stand

Simba ilikula 5 ,Zahera alikuwa Tanga

Then,Haji anasahau kuwa Zahera ni Mcongo na Ibenge ni boss wake kwenye national team ya Congo na amekuwa naye kwa muda kila anapokwenda hata Ibenge alipokuwa kocha china alimchukua Zahera.

Kambi ya Yanga tulipoenda kucheza na Usm algers Saimon Msuva alitembelea kambi kuwapa hi waTz wenzake kuna ubaya gani Zahera kwenda kuonana na Ibenge na wachezaji ambao atakuwa nao national team,yaani aogope kisa kuonekana atampa siri za SImba,hizo+255 mlizokula yeye ndo kachangia?

Zahera anaweza kwenda kesho uwanja wa taifa halafu,Simba wakapoteza game halafu mashabiki wakareact na kumdhuru Zahera kwa sumu hizi za Hajji maana wengi ni mbumbumbu according to Ragge,nini kitatokea na mashabiki wa Yanga wakiamua kumtetea kocha wao? Huyu Hajji Usilazimishe game ya Simba kuifanya kama ni national team,pambaneni na mambo yenu wenyewe.

Na siku moja kauli na maandishi ya hili jinga yatamponza,eti anataka naye kugombea ubunge,duuh

Hii siyo timu ya taifa,pambaneni acheni kutafuta pakutokea mambo yakienda kombo
Ubunge ? Jimbo gani?
 
Huyu Haji nadhani hali yake inaathiri kufikiria vizuri(sorry kwa hilo) kelele anazopiga ni upuuzi mtu badala ya kudeal na kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani anamtengenezea Zahera enemity kwa mashabiki wa Simba.

Simba ilikula 5,Zahera alikuwa Shinyanga kucheza na stand

Simba ilikula 5 ,Zahera alikuwa Tanga

Then,Haji anasahau kuwa Zahera ni Mcongo na Ibenge ni boss wake kwenye national team ya Congo na amekuwa naye kwa muda kila anapokwenda hata Ibenge alipokuwa kocha china alimchukua Zahera.

Kambi ya Yanga tulipoenda kucheza na Usm algers Saimon Msuva alitembelea kambi kuwapa hi waTz wenzake kuna ubaya gani Zahera kwenda kuonana na Ibenge na wachezaji ambao atakuwa nao national team,yaani aogope kisa kuonekana atampa siri za SImba,hizo+255 mlizokula yeye ndo kachangia?

Zahera anaweza kwenda kesho uwanja wa taifa halafu,Simba wakapoteza game halafu mashabiki wakareact na kumdhuru Zahera kwa sumu hizi za Hajji maana wengi ni mbumbumbu according to Ragge,nini kitatokea na mashabiki wa Yanga wakiamua kumtetea kocha wao? Huyu Hajji Usilazimishe game ya Simba kuifanya kama ni national team,pambaneni na mambo yenu wenyewe.

Na siku moja kauli na maandishi ya hili jinga yatamponza,eti anataka naye kugombea ubunge,duuh

Hii siyo timu ya taifa,pambaneni acheni kutafuta pakutokea mambo yakienda kombo
Haji Manara ni mchochezi,polisi wanatakiwa kumkamata uchochezi haupo kwenye siasa tu,Viongozi wa Yanga mchukulieni Rb mpumbavu huyo siyo kauli za uanamichezo.
 
Manara toka lini akawa MTU anayejielewa,,!!! Yule ni kichaa wa enzi na enzi

Asingekuwa kichaa asingekuwa Maarufu

Nchi Hii ili upate umaarufu lazima akili uzipeleke likizo

Sasa hivi Kila Mtu Pieree Pieree ukiuLiza ndio nani unaambiwa Mlevi wa Taifa Hakuna Maelezo ya ziada zaid ya Kuwa Mlevi Na amepata umaarufu Na kawa Maarufu mpaka kurekodi Matangazo ya Biashara


Acha twende hivyo hivo
 
Back
Top Bottom