Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Watu wanajaa kumuangalia??Ukiona mtu kakutoa pivu ujue kakukalisha tayari, kila timu ingekuwa na babubu kama hawa mabubu wa vilabu vingine mpira ungekuwa wapi? Mapato ya uwanjani yangepatikanaje? Hamjui Manara ndio sababu ya kujaza uwanja? Tulieni dawa iingie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app