Hajji Manara anatatizo linalohitaji tiba

Na je siku mashabiki wakimdhuru zahera kosa litakuwa la nani kama sio huyo "SOPE"??
Majitu kama kama hilo "SOPE " yanafanya mpira wa bongo usifike mbali..
Kwa kuwa tu simba ana mechi na as Vita basi lenyewe linataka kila kitu kisimame!
Yaani watu wasiendelee na shughuli zao??

Na mpigwe tuu hamna namna
 
😁😁😁😁 Tz mambo ya kijinga ndo kiki
 
Anachokifanya huyu msemaji wa Simba n kuhamasisha VURUGU kwa siku ya kesho,post zake nyingi zmekaa kivurugu,Na hapa ana hatarisha Maisha na usalama wa Zahera.

Sent from Nokia 7 Plus
 
Haji Manara ni mchochezi,polisi wanatakiwa kumkamata uchochezi haupo kwenye siasa tu,Viongozi wa Yanga mchukulieni Rb mpumbavu huyo siyo kauli za uanamichezo.
Mkuu huyu jamaa sio mzima!

Sent from Nokia 7 Plus
 
Alafu hua mna mjaza ujinga eti yeye ndio sababu ya uwanja kujaa , unadhani Simba ingekua na matokeo mabovu uwanja ungejaa kisa Manara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kesho mnyama atacheza na tim mbili as vital na as kandambili,,

Kila tim itayocheza na simba mnahamia kwenye hiyo tim,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ulitaka tufanye nn, we kuna siku ushawahi isupport yanga pindi inapocheza na timu yoyote..?
Kwanza kama mm naanzaje. Kuishangilia Mikia.. Huwez kulazimisja hisia za moyo wangu kitu inapenda.
Yaan Leo tusijuane kabisa mpambane na hali zenu ..

Kila LA kheri vumbi LA Congo unanipaga steam
 
Haji manara ashakuwa brand aache kuropoka km mpumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama ulishawahi kuwa shabiki wa kutupwa wa mpira na linapokuja wazo la kwamba mechi inayokuja lazima nitafungwa basi utatafuta njia yoyote ile ya kutokea ili ukajibanze pahala fulani ukiuguza majeraha pale utakapokuwa umefungwa kweli.....Manara hana jinsi zaidi ya kumfanya Zahera kuwa "Scapegoat" wake? Manara naanza na pole yako!
 
Zahera ni mjinga kaomba ruhusa kwenda Congo halafu anaonekana na timu maadui akitoa mbinu!? Je ana kibali cha kikuchi Congo akiwa ndani ya Tanzania? Amevunja utaratibu wa kazi na anahujumu nchi yetu. Afukuzwe tu Tanzania kumbafuuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona adui yako anakupenda na kukukubali basi ujuwe hupo sawa kuna sehemu umekosea..
Lakini ukiona Adui yako Anakuchukia na Kukushambulia Basi Jua uposahihi na unafanikiwa katika jambo lako. Ova


Manara Wanasimba tunakukubali endelea kupiga Kazi achana na Vyura hivi ndiyo Kazi yao kelele.

√ Kabla Ya Manara Simba ilikuwa haifikii hata Nusu ya Washabiki wa sasa wanaoingua Uwanjani..

√ Lakini baada ya kuja tu Manara kila Mechi anaifanyia Promo na Kujaza uwanja.
Hili ndiyo linalowakera Kandambili kuona Manara kaifanya Simba kuwa Big Brand in East Africa and Afrika kwa ujumla.


Kwahiyo kila ninapoona Minyuzi yanazidi kuanzishwa hapa kwa ajili ya Manara ndiyo nazidi kufarijika kuwa sasa Manara yeye mwenyewe ni Brand.

Manara itangaze Simba mpaka tuhakikishe Dunia ielewe kuwa Tanzania kuna Simba SC tu, hawa Yanga wabakie kujuilikana mwisho Mkuranga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…