Hajji Manara ni zaidi ya shabiki wa kawaida, Taifa litamhitaji kuelekea Afcon

Hajji Manara ni zaidi ya shabiki wa kawaida, Taifa litamhitaji kuelekea Afcon

Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Chaaaaaa, yaani huyu ndiyo Manara? Kwa kweli akae huko huko wala asije uwanjani, hatumtaki kabisa.
 
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Akajuinge na wadogo zake wa Kigoma wenzake mwijaku , babalevo na Mr.pimbi kwenye uchawa. Mpira ameshapitwa na wakati Sasa hivi zimekuja zamani za vijana wa kidigital Ally Kamwe na Ahmedy Ally
 
Impact gani wew? Akisusa Mo au GSM au Bakhresa tutasema kweli tutadorola,

Haya nambie Manara kalifanyia nn soka la bongo?
.kuhamasisha kujaza viwanja? Watu walishajaza viwanja hadi vikajadiliwa Bungeni kwenye derby ya 2009 bila manara,

Labda kutukana watu ovyo
WABONGO WANAPENDA MTU ANAYEPIGA DOMO
BLAH BLAH NYINGI KWAO WANAONA UFAHARI

ova
 
Itakuwa wewe ndo manara mwenyewe

Umejishtukia baada ya kuona umesahaulika...huna lolote kaendelee kusutana na mange kimambi
 
Miaka kadhaa mwamba alipangishiwa flat pale Ila watu wakawa wanaruka na kukanyagana
 
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Mmmh ingekuwa timu hazifanyi vzr kwl.....ila unajionea mwenyewe Afcon tumo,CCL tupo vzr......inshu kubwa ni mipango sahihi na utekelezaji mzuri pamoja na ushirikiano baina ya viongozi, wachezaji na mashabiki.......
 
Impact gani kwa mfano? Sasa hivi yupo benchi je viwanja havijai? Mabanda umiza yanakosa watu? Timu hazifanyi vizuri kimataifa? Uliliona parade la Yanga?Leta data tumedorora wapi
Waulize Mwananchi day kama walijaza
 
Acha ushabiki Manara ana impact kubwa kwenye soka la nchi hi, tumedorora bila yeye.
Hapana kelele za kipumbavu zimeissha
😁😁😁😁 aache tu sahv tuna ally kamwa na ahmed ally👍🏽
 
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Kakulipa shilingi ngapi?
 
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Always remember no one is irreplaceable either in daily activities or your job position may be in family level unaweza ukawa irreplaceable tatizo sikio limezidi kichwa atulie dawa iingie
 
Ajiheshimu kwanza, ataheshimiwa. Aache mambo ya kukashifu watu.
 
Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Huyu hakuna anayemhitaji labda uto
 
Huyo ni mpiga kelele tuu hakuna kitu anaongea kwenye mpira, mpira ndio umemfanya kua maarufu, Ahmed Ally atukani mtu anatembea na kispika chake cha kuuzia dawa za kunguni na uwanja unajaa huyu ndie mtu anaehitajika kwa sasa
 
Back
Top Bottom