kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Break ya TFF isipuuzwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaaaaaa, yaani huyu ndiyo Manara? Kwa kweli akae huko huko wala asije uwanjani, hatumtaki kabisa.Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Akajuinge na wadogo zake wa Kigoma wenzake mwijaku , babalevo na Mr.pimbi kwenye uchawa. Mpira ameshapitwa na wakati Sasa hivi zimekuja zamani za vijana wa kidigital Ally Kamwe na Ahmedy AllyMpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
We ni mjinga, kipi kimedorora? Una mahaba ya kijinga sanaAcha ushabiki Manara ana impact kubwa kwenye soka la nchi hi, tumedorora bila yeye.
WABONGO WANAPENDA MTU ANAYEPIGA DOMOImpact gani wew? Akisusa Mo au GSM au Bakhresa tutasema kweli tutadorola,
Haya nambie Manara kalifanyia nn soka la bongo?
.kuhamasisha kujaza viwanja? Watu walishajaza viwanja hadi vikajadiliwa Bungeni kwenye derby ya 2009 bila manara,
Labda kutukana watu ovyo
Mmmh ingekuwa timu hazifanyi vzr kwl.....ila unajionea mwenyewe Afcon tumo,CCL tupo vzr......inshu kubwa ni mipango sahihi na utekelezaji mzuri pamoja na ushirikiano baina ya viongozi, wachezaji na mashabiki.......Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Waulize Mwananchi day kama walijazaImpact gani kwa mfano? Sasa hivi yupo benchi je viwanja havijai? Mabanda umiza yanakosa watu? Timu hazifanyi vizuri kimataifa? Uliliona parade la Yanga?Leta data tumedorora wapi
Khaaaaaa, labda umedorora wewe mbona mambo yanaenda fresh tu. Kwanza huyo jamaa alisababisha utani wa jadi uwe kama uaduiAcha ushabiki Manara ana impact kubwa kwenye soka la nchi hi, tumedorora bila yeye.
Hapana kelele za kipumbavu zimeisshaAcha ushabiki Manara ana impact kubwa kwenye soka la nchi hi, tumedorora bila yeye.
Kakulipa shilingi ngapi?Mpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Always remember no one is irreplaceable either in daily activities or your job position may be in family level unaweza ukawa irreplaceable tatizo sikio limezidi kichwa atulie dawa iingieMpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352
Na mkeweMmedorora na nani?
Huyu hakuna anayemhitaji labda utoMpira wa bongo wa simba na yanga umekosa ushawishi wa maana tangu huyu jama apigwe marufuku, Tanzania tumeshindwa kupata mtu mbadala wa huyu jamaa ushabiki wa hoja haupo tena ni makelele tu, kubali au kataa manara ni zaidi ya shabiki hapa Tz jamaa anajua kupro mpira.........View attachment 2784352