Alure
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 1,100
- 1,054
Mkuu hujawahi kuexperience one night stand au ndio umemaliza shuleMkuu menya inganyi, sio maneno makali ila ndio ukweli mchungu. wewe utapigaje dem mmeonana leo kesho unapiga!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hujawahi kuexperience one night stand au ndio umemaliza shuleMkuu menya inganyi, sio maneno makali ila ndio ukweli mchungu. wewe utapigaje dem mmeonana leo kesho unapiga!!!
Mama wa mtoto wangu mtarajiwa, baba Kijacho na mama Kijacho.mtu mpaka kakubebea mimba yako bhado una muita kabinti?mpe heshima yake
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
Bado unakaita kabinti tuuuu,yote hayo! Au mpaka akupe ile naniliu....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni pm namba zake namie nikaonje
moshiKako mkoa gani mkuu nikuambie kitu.
kupima nini mkuu?Mkuu kapime kwanza hayo ya mimba achana nayo
Kwa hiyo manesi wasubirie mauharo siku ya kujifungua aisee.Kuna kabinti tulikua tunachat nacho kwenye mitandao ya kijamii kama friend ikaja ikatokea siku moja nikiwa mikoani kwao tukaonana stori za apa na pale mwisho akaondoka kiukweli nilikaona kadogo kweli.
Sasa kesho yake akaja tena tukawa tunapiga stori akanipa habari zake za chuo nk badae Muda ukaenda akaniambia analala. Basi tukalala nikakuta tumevunja amri ya sita.
Kwa maumbile ya yule mtoto yalikua madogo nilitumia kinga but nakumbuka ilipasuka, cha kunishangaza yule mtoto michezo yake ilikua hatari kwa waelewa wataelewa alinipa nini.
Anyway sikuamini kwa rika Lake kama ule mchezo anauweza na alijifunzia wapi tuyaache hayo.. Nilimwambia kua nina mtu kwa hiyo aelewe hivyo basi siku zilienda simu zikawa nyingi hadi kero..
Baadae kaniambia ana mimba dah nilijuta sana maana sikutaka tena watoto wa nnje sasa kawa mjanja kutafuta no na mawasiliano ya ndugu zangu kwenye mitandao ya kijamii cha kusikitisha kawaambia dada zangu wote adi Bro zangu yaani mpaka aibu isitoshe simu kila saa usiku mchana kisa ananiambia atanikomoa niachane na mpenz wangu.
Najuta sana kiukweli kwa hivi vibinti nimeamua hata kuikataa mimba kabisa maana huyu kadhamiria kuniharibia kabisa... Au nifanyeje jamani?
cha kunishangaza yule mtoto michezo yake ilikua hatari kwa waelewa wataelewa alinipa nini.