NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 48
View attachment 15274Huyu msanii alikua anakuja vizuri sana katika vipindi vya ITV na baazi ya picha alizocheza japokua sinyingi lakini movi yake yamwisho niliyoiona nilimuonea huruma tayari walianza kumwelekeza katika mamboya yakumvunja heshima kusheza filam za kupotosha jamii japokuwa wengi wansema ni kwenda nawakati kwamtazamo finyu, nilianza kumuoniea huruma kwasababu wasanii wetu huwa wanaharibiwa na viongozi kutojali maadili na desturi yetu yakiafrika lakini mungu kakiokoa kupata ndoa kimetoweka kwenye biashara ya filam,
kalivutia sana kwenye vipindi vya ITV kama mnakumbuak kalishiriki tamsilia flani, nasikia kimeolewa na mume hataki usanii nimebahatika kupata picha yake mkubukeni MANKA
View attachment 15273
kalivutia sana kwenye vipindi vya ITV kama mnakumbuak kalishiriki tamsilia flani, nasikia kimeolewa na mume hataki usanii nimebahatika kupata picha yake mkubukeni MANKA
View attachment 15273