Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

Kilichoongezeka ni hali tu ya upambanaji kwa wachezaji ili wamshawishi kocha mpya, ila sio kwamba mbinu na tactics za kocha mpya zimeanza kufanya kazi kwa muda mfupi kiasi hiko.
Ukirudisha kumbukumbu nyuma kwenye mechi ya African football league dhidi ya Al Ahly, utapata jibu. Wachezaji wa Simba walijituma sana kwenye ile mechi, kitu ambacho kilikuwa hakifanyikagi, na yale ndio yalikuwa matokeo ya kujituma kwao.
Mimi naona backs wanacheza kwa uangalifu zaidi na hawapandi hovyo na kujigeuza wingers. Pia wakipanda wanabaki juu na kukabia juu badala ya kurudi nyuma chap na kumaliza pumzi ambazo wengi wao hawana.
Hata leo Simba kafungiwa pumzi.
 
Sifa moja kubwa ya wanathimba Guvu moya ni kujipa matumaini na kujifariji, ilianzia Jan na hii ni Dec Sasa mbumbumbu kufa kiume fc bado wako vile vile!!

Jana Simba hawakucheza mpira bali waliuchezea mpira, walikuwa na kasi isiyo na malengo, hawakutengeneza nafasi hata moja ya kufunga! Walikuwa na harakati kibao zisizo na Maana!

Mtazamo wangu ukweli usemwe 5imba Guvu moya ni underdog msimu huu na ni bado saaaaana!

Makolo Mkinuna narusha goli la Max Nzengeli lile la kwenye 5G!
Sio la Kibu Denis
 
Vilaza ni wale wanaoongea Kama vile wamekatika vichwa, mpira unatakiwa uuangalie kwa jicho la kiufundi na sio kimahaba vinginevyo mashabiki Kama nyie ndio mnaozidi kuididimiza timu shimoni badala ya kuinusuru!
Acha ujinga, yanga walipofanya usajiri mzuri tulisia, wakaleta takwimu eti simba ile ya robart imepiga pasi nyingi kuliko timu zote, lakini mashabiki wa simba wenye akili timamu tulipinga kwani yanga alikuwa anaupiga mwingi mno, sasa leo unaparamia uzi kimhemko, ebu tuliza hilo jiko nyuma.
 
Vilaza ni wale wanaoongea Kama vile wamekatika vichwa, mpira unatakiwa uuangalie kwa jicho la kiufundi na sio kimahaba vinginevyo mashabiki Kama nyie ndio mnaozidi kuididimiza timu shimoni badala ya kuinusuru!
Acha ujinga, yanga walipofanya usajiri mzuri tulisia, wakaleta takwimu eti simba ile ya robart imepiga pasi nyingi kuliko timu zote, lakini mashabiki wa simba wenye akili timamu tulipinga kwani yanga alikuwa anaupiga mwingi mno, sasa leo unaparamia uzi kimhemko, ebu tuliza hilo jiko nyuma.
 
Mbona kama ma Gongowazi vilaza FC wanatupangia?
Viva Benchika....
 
Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.

Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.

Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
Marefa tunawapokea wenyewe tunashindwa kuwachabgamsha akili na mwili wenzetu wanawrzeje?
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Benchika ameonyesha ni kocha mzuri apewe sapoti na ikiwezekana ashirikishwe kwenye usajili wa dirisha dogo na hasa kuongeza mshambuliaji wa kati anayejua goli na kiungo mkabaji fundi wa kupora mipira.

Robertino alitembelea nyota ya Mgunda huo ndio ukweli na si vinginevyo. Na kibaya zaidi Robetino kikosi kilimzidi ukubwa tofauti na Benchika ambaye tayari ameshafundisha timu kubwa Afrika kwa hiyo hakuna mchezaji anayeweza kuinua mabega kumzidi. Ndio maana wachezaji wengi wa Simba kwenye mechi hizi mbili wameache mizaha uwanjani.
 
Naona kama wana kikundi chao wanajitenga wao 3 tuu..wanajiona masupa staa..Chama,Miquisone na Phiri...nadhani kuna agenda wanayo hawa sio bure...
Inaonekana wamezoea kutingisha kiberiti kwamba ili wafanye vizuri lazima kuwe na bonus au kupima upepo kwamba wanaweza kuringa na kuondoka,Simba ya sasa sio ya kumbembeleza mchezaji, mtu kama Miquison ataenda timu gani kubwa ile kiwango,labda hivi vilabu vingine vya kwenye ligi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story za kujifariji hizi baada ya kuangukia mkiani.
 
Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?

Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?

Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
[emoji23][emoji23][emoji23]mpira ungekua unafasiriwa hivyo kama unavyo sema wewe ingekua atari,umeona new castle leo anavyo nyolewa na spurs iliyo fungwa na chelsea goli nne wakati chelsea nae kafungwa goli nne na new castle,this is footbal braza.
 
Back
Top Bottom