Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

Haki huyu ndie mwalimu SIMBA tuliyemhitaji

Inaonekana wamezoea kutingisha kiberiti kwamba ili wafanye vizuri lazima kuwe na bonus au kupima upepo kwamba wanaweza kuringa na kuondoka,Simba ya sasa sio ya kumbembeleza mchezaji, mtu kama Miquison ataenda timu gani kubwa ile kiwango,labda hivi vilabu vingine vya kwenye ligi

Sent using Jamii Forums mobile app
Yah itakua aisee
 
Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.

Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.

Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
Game ya marudiano na Yanga akipasuka Hana kazi, Simba Kwa makocha hamjambo,
 
Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.

Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.

Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
Ukweli wamecheza vizuri sana utadhani ni timu tofauti na ile iliyocheza na ASEC na JJWANENG. Ila vilevile tusijipe moyo sana hata WYDAD hawako vizuri sana mwaka huu. Hata hivyo, Kocha Benchika ameanza vizuri.
 
Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?

Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?

Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
hiyi mechi wydad aliyofungwa 2 bila na asec ni ya lini???
 
hiyi mechi wydad aliyofungwa 2 bila na asec ni ya lini???
Hakuna sehemu aliyosema Wydad kafungwa goli mbili, Uwe unasoma nakuelewa. Amesema Wydad Kafungwa mechi 2 na Asec na kibonde wa kundi Galaxy. Soma tena
 
Hakuna sehemu aliyosema Wydad kafungwa goli mbili, Uwe unasoma nakuelewa. Amesema Wydad Kafungwa mechi 2 na Asec na kibonde wa kundi Galaxy. Soma tena
Shule zimefungwa buloo tumevamiwa..
 
Unapata wapi ujasiri wa kusema Jwaneng mbovu wakati ni mwaka juzi tu ameshiriki makundi klabu bingwa,hatua ambayo Yanga hajaweza kufika kwa miaka 25? Wydad anakuwaje mbovu wakati ni wanafainali wa Klabu Bingwa Afrika msimu ulioisha na wamecheza fainali ya AFL juzi tu? Jwaneng ni bora kuliko hata Yanga kwani angalau ameshinda mechi moja ya m CL kwani Yanga tangu kuanzishwa kwake hadi sasa haijawahi kushinda mechi yoyote ya ligi ya Mabingwa hatua ya makundi
Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?

Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?

Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
 
Bocco ana game ya ngapi hajacheza?? muacheni mzee wa watu astaafu kwa amani. Kayatenda Mengi na Makubwa pale msimbazi.
Wabongo ni wapumbavu sana.
Unaposikia kupiga misumari maana yake kuwaloga wengine.

Nchi hii ina watu wafu kiakili sana
 
Huyo kocha aishi milele hapo unyamani hata timu ikishuka daraja apande nayo...sisi tumekubali mnooo
mkipigwa gwala na mtani wenu mtamkataa mchana kweupee km siyo ninyi mnaomdifia hivi sasa
 
Back
Top Bottom