Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Vilaza ni wale wanaoongea Kama vile wamekatika vichwa, mpira unatakiwa uuangalie kwa jicho la kiufundi na sio kimahaba vinginevyo mashabiki Kama nyie ndio mnaozidi kuididimiza timu shimoni badala ya kuinusuru!Kilaza aliyekukojoa, ficha upumbav wako.
mamy ume.kua mpole sana kulikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kabisa kabisaa asietaka kuona hilo ni kilaza...huo ndio ukweli
Sanaa sijui why wanampa lawama za ajabuBocco ana game ya ngapi hajacheza?? muacheni mzee wa watu astaafu kwa amani. Kayatenda Mengi na Makubwa pale msimbazi.
Mi mbona mpole jamani.. π π π π πmamy ume.kua mpole sana kulikoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi naona backs wanacheza kwa uangalifu zaidi na hawapandi hovyo na kujigeuza wingers. Pia wakipanda wanabaki juu na kukabia juu badala ya kurudi nyuma chap na kumaliza pumzi ambazo wengi wao hawana.Kilichoongezeka ni hali tu ya upambanaji kwa wachezaji ili wamshawishi kocha mpya, ila sio kwamba mbinu na tactics za kocha mpya zimeanza kufanya kazi kwa muda mfupi kiasi hiko.
Ukirudisha kumbukumbu nyuma kwenye mechi ya African football league dhidi ya Al Ahly, utapata jibu. Wachezaji wa Simba walijituma sana kwenye ile mechi, kitu ambacho kilikuwa hakifanyikagi, na yale ndio yalikuwa matokeo ya kujituma kwao.
Sio la Kibu DenisSifa moja kubwa ya wanathimba Guvu moya ni kujipa matumaini na kujifariji, ilianzia Jan na hii ni Dec Sasa mbumbumbu kufa kiume fc bado wako vile vile!!
Jana Simba hawakucheza mpira bali waliuchezea mpira, walikuwa na kasi isiyo na malengo, hawakutengeneza nafasi hata moja ya kufunga! Walikuwa na harakati kibao zisizo na Maana!
Mtazamo wangu ukweli usemwe 5imba Guvu moya ni underdog msimu huu na ni bado saaaaana!
Makolo Mkinuna narusha goli la Max Nzengeli lile la kwenye 5G!
Acha ujinga, yanga walipofanya usajiri mzuri tulisia, wakaleta takwimu eti simba ile ya robart imepiga pasi nyingi kuliko timu zote, lakini mashabiki wa simba wenye akili timamu tulipinga kwani yanga alikuwa anaupiga mwingi mno, sasa leo unaparamia uzi kimhemko, ebu tuliza hilo jiko nyuma.Vilaza ni wale wanaoongea Kama vile wamekatika vichwa, mpira unatakiwa uuangalie kwa jicho la kiufundi na sio kimahaba vinginevyo mashabiki Kama nyie ndio mnaozidi kuididimiza timu shimoni badala ya kuinusuru!
Acha ujinga, yanga walipofanya usajiri mzuri tulisia, wakaleta takwimu eti simba ile ya robart imepiga pasi nyingi kuliko timu zote, lakini mashabiki wa simba wenye akili timamu tulipinga kwani yanga alikuwa anaupiga mwingi mno, sasa leo unaparamia uzi kimhemko, ebu tuliza hilo jiko nyuma.Vilaza ni wale wanaoongea Kama vile wamekatika vichwa, mpira unatakiwa uuangalie kwa jicho la kiufundi na sio kimahaba vinginevyo mashabiki Kama nyie ndio mnaozidi kuididimiza timu shimoni badala ya kuinusuru!
Kuna members wengine akili zao hazina akiliMbona kama ma Gongowazi vilaza FC wanatupangia?
Viva Benchika....
Marefa tunawapokea wenyewe tunashindwa kuwachabgamsha akili na mwili wenzetu wanawrzeje?Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.
Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.
Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
Inaonekana wamezoea kutingisha kiberiti kwamba ili wafanye vizuri lazima kuwe na bonus au kupima upepo kwamba wanaweza kuringa na kuondoka,Simba ya sasa sio ya kumbembeleza mchezaji, mtu kama Miquison ataenda timu gani kubwa ile kiwango,labda hivi vilabu vingine vya kwenye ligiNaona kama wana kikundi chao wanajitenga wao 3 tuu..wanajiona masupa staa..Chama,Miquisone na Phiri...nadhani kuna agenda wanayo hawa sio bure...
[emoji23][emoji23][emoji23]mpira ungekua unafasiriwa hivyo kama unavyo sema wewe ingekua atari,umeona new castle leo anavyo nyolewa na spurs iliyo fungwa na chelsea goli nne wakati chelsea nae kafungwa goli nne na new castle,this is footbal braza.Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?
Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?
Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
Ww u hali gani hapo mkiani??Story za kujifariji hizi baada ya kuangukia mkiani.
Sisi wananchi tunapenda sana mkiani. Sijui nyinyi wenzetu.Ww u hali gani hapo mkiani??
π π π πSisi wananchi tunapenda sana mkiani. Sijui nyinyi wenzetu.