Yah itakua aiseeInaonekana wamezoea kutingisha kiberiti kwamba ili wafanye vizuri lazima kuwe na bonus au kupima upepo kwamba wanaweza kuringa na kuondoka,Simba ya sasa sio ya kumbembeleza mchezaji, mtu kama Miquison ataenda timu gani kubwa ile kiwango,labda hivi vilabu vingine vya kwenye ligi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina imani mwalimu bado anapima wachezaji wazuri,hata wakisajiliwa na kuachwa hao pale pale wale kina Chilunda wanaweza kufanya maajabuYah itakua aisee
Game ya marudiano na Yanga akipasuka Hana kazi, Simba Kwa makocha hamjambo,Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.
Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.
Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
Hatujambo, samaleko.Game ya marudiano na yanga akipasuka Hana kazi,Simba Kwa makocha hamjambo,
Ukweli wamecheza vizuri sana utadhani ni timu tofauti na ile iliyocheza na ASEC na JJWANENG. Ila vilevile tusijipe moyo sana hata WYDAD hawako vizuri sana mwaka huu. Hata hivyo, Kocha Benchika ameanza vizuri.Licha ya muda mfupi aliokaa na timu kocha mpya wa SIMBA bwana Benchka, kwa mara ya kwanza nimeiona tena ile simba ya kupambana mwanzo mwisho.
Tangu atimuliwe yule fitness coach ambae aliondoshwa pamoja na Darosa, timu yangu Simba haikuwahi kucheza tena kwa utimamu kama ilivyokuwa game ya jana.
Wachezaji wanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.
hiyi mechi wydad aliyofungwa 2 bila na asec ni ya lini???Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?
Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?
Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
Hakuna sehemu aliyosema Wydad kafungwa goli mbili, Uwe unasoma nakuelewa. Amesema Wydad Kafungwa mechi 2 na Asec na kibonde wa kundi Galaxy. Soma tenahiyi mechi wydad aliyofungwa 2 bila na asec ni ya lini???
Na wale watatu akiwamo nyanda jina nimemsahau.Bila boco kuondoka hapo.timu haiwezi kuwa vizuri.anapiga sana misumali wenzie
Shule zimefungwa buloo tumevamiwa..Hakuna sehemu aliyosema Wydad kafungwa goli mbili, Uwe unasoma nakuelewa. Amesema Wydad Kafungwa mechi 2 na Asec na kibonde wa kundi Galaxy. Soma tena
Acha ukilaza angalia na viwango vya timu ulizocheza nazo, unataka kutuambia ndani ya wiki moja ndio benchikha kaibadilisha timu?
Ni kawaida sana kwa kocha mpya anapoingia kwenye timu lazima wachezaji watafute namba ndicho kinachotokea ndani ya Simba na sio uwezo Wala kusema eti benchikha kaibadilisha timu labda Kama mpira umeujulia ukubwani, alafu pia unaangalia uwezo wa timu ulizocheza nazo ukoje?
Uyo wydad kachapwa mechi 2 na Asec pamoja na kibonde wa kundi jwaneng iyo ni ishara tosha ya aina ya timu uliyoenda kupambana nae, jwaneng mbovu aliyemkanda whdad wewe ulichukua point 1 kwake, na whdad aliyekandwa na jwaneng mbovu amechukua kwako point 3, kwa uhalisia umeshindwa kuonyesha ubora wako mbele ya timu mbovu zote unategemea Nini???
We ona baleke anavyocheza utopolo. Balked kawa mbovu kama musonda.Na wale watatu akiwamo nyanda jina nimemsahau.
Wabongo ni wapumbavu sana.Bocco ana game ya ngapi hajacheza?? muacheni mzee wa watu astaafu kwa amani. Kayatenda Mengi na Makubwa pale msimbazi.
mkipigwa gwala na mtani wenu mtamkataa mchana kweupee km siyo ninyi mnaomdifia hivi sasaHuyo kocha aishi milele hapo unyamani hata timu ikishuka daraja apande nayo...sisi tumekubali mnooo
Hata tukifurushwa club bingwa tutamdifia tuuu..... π π πmkipigwa gwala na mtani wenu mtamkataa mchana kweupee km siyo ninyi mnaomdifia hivi sasa
Hata tukifurushwa club bingwa tutamdifia tuuu.....
Wameshayatapika tiariwanapambana utafikiri sio wale wa juzi, na kwamorali hii, naamini WYDAD atatapika makande hapa kwa mkapa, hakika nasema.