Haki inanisumbuwa

Haki inanisumbuwa

Mkuu kwa mujibu wa sheria ya dini nakushauri yafuatayo;

a. Kama mwanamke anakulazimisha umpe talaka mwambie akuandikie barua rasmi, halafu umwambie asubiri 3 months utamjibu..ikipita miezi mitatu mwambie tena akuandikie barua rasmi kusisitiza kuwa hataki kukaa na wewe..akiweza kufanya hivyo unaweza kuwaita wanazuoni wafanye suluhu katika ndoa yenu..

b. Usimpe ndoa; jaribu kutengana wala mwaka moja bila kuacha kuishi na kula pamoja na ikishindika tena, hapo chukua ushauri wa wanazuoni..

Sishauri kumpa mke talaka..never
 
Mkuu kwa mujibu wa sheria ya dini nakushauri yafuatayo;

a. Kama mwanamke anakulazimisha umpe talaka mwambie akuandikie barua rasmi, halafu umwambie asubiri 3 months utamjibu..ikipita miezi mitatu mwambie tena akuandikie barua rasmi kusisitiza kuwa hataki kukaa na wewe..akiweza kufanya hivyo unaweza kuwaita wanazuoni wafanye suluhu katika ndoa yenu..

b. Usimpe ndoa; jaribu kutengana wala mwaka moja bila kuacha kuishi na kula pamoja na ikishindika tena, hapo chukua ushauri wa wanazuoni..

Sishauri kumpa mke talaka..never

Usiposhauri kumpa mke talaka then the court of law will do it instead, i think u know nothing about point of no return!!....
 
Hahahahahaaaa Wabongo tuko wasanii sana. Halafu kuna kitu kingine nimgendua.

Hizi gesti zina biashara nzuri sana na ndiyo maana huwa zinadumu kwa muda mrefu. Na hii longevity ni kwa sababu demand yake ipo muda wote kwa sababu ya watu kucheat.

Kuna gesti moja ipo Sinza karibu na Meeda pale inaitwa La Paloma. Hii gesti bana ina zaidi ya miaka 20 na mpaka leo hii ipo. Gesti yenyewe ukiiona imechoka vibaya. Hutumiwa sana na wale wadada poa wa pale Meeda.

Nadhani ni eneo (gesti) ambalo linafaa katika kuwekeza. Ni biashara iliyo recession proof.


Tena inalipa sana kuliko unavyofikiria,mimi nina mshkaji wangu ana hotel mbili na sasa hivi yuko mbioni kufungua ya tatu(nafikiri unaweza kupata jibu hapo). Na wenyewe wanakwambia short time(mimi napenda kuita chapchap kiduchu)ndio inalipa zaidi maana chumba hicho kimoja kwa siku kinaingiza zaidi ya laki mbili.....haya baba akili kumkichwa!
Bongo tambarareeeee.....mweeh!
 
Kwa mimi mwenye experience ya kutafuna wake za watu muda mzuri wa kumla mke wa mtu ni kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 10 jioni make sure umemrelease na kwa wanaume walioowa sishauri uchukuwe demu baada ya kupombeka usiku ndio unaenda naye kwenye game ukinogewa ni lazima ulale nje au urudi home alfajili, hapa unaaribu ndoa yako mwenyewe. kwahiyo mwanaume unashauriwa uache kazi ufanye kazi mida ya kucheat walio kwenye ndoa ni saa 4 asubuhi mpaka saa 10 jioni, saa 12 jioni upo kwa mkeo kimyaa!!

Hahahaaa Matola wewe kiboko!!!
 
Najuwa tuko wengi tunaoamini utaratibu wa mwanamme kuwa na haki ya kutowa talaka. Mlio kwenye kundi hili nawaombeni ushauri wenu kwa vile mtanielewa nini kinachonisibu.

Mwenzangu, nikimaanisha mama watoto wangu ana nifanyia visa eti kwa kuwa mimi ndie ninaeweza kutowa talaka kwake!

tumwagie kwanza sababu za bi mkubwa kuomba talaka, na sababu za wewe kukataa kutoa talaka tukushauri vzr. Hivi mzee tunashindwa kukupa ushauri wa maana!
 
Imebidi nikujibu hii mkuu sababu jamaa hakuelezea kama dini ya kiislamu inavyoamrisha.Ni kweli mwanamme ndio anatoa Taraka ki-dini,lakini pia mwanamke anaweza kuomba taraka kama ana sababu zinazomfanya ashindwe kuishi na mmewe. Na taraka si lazima aandike mmewe,mahakama za kidini/kiongozi wa dini anaweza kutoa taraka na ikakubalika! Ingawa wewe unaona hii ni 'nonsense' lakini uislamu umetaka kumpa haki mwanamke asiishi kwenye 'abusive relationship' au ndoa asiyoitaka.correct me if am wrong,Dini nyingi hazimpi mwanamke haki ya kupata taraka bila ya ridhaa ya mwanamme! May be that is a nonsense!
 
Duuh! Kama ni kweli hivyo ndivyo ilivyo basi kaazi kweri kweri.

Yaani kwa hiyo ina maana mwanamke anaweza akawa kwenye abusive marriage na asijichomoe toka kwenye hiyo hali hadi mumewe apende? Hata akipigwa mangumi na kung'olewa meno hana jinsi....ni kuvumilia na kusamehe saba mara sabini?

I am trying to make sense of that nonsense but I just can't.


Imebidi nikujibu hii mkuu sababu jamaa hakuelezea kama dini ya kiislamu inavyoamrisha.Ni kweli mwanamme ndio anatoa Taraka ki-dini,lakini pia mwanamke anaweza kuomba taraka kama ana sababu zinazomfanya ashindwe kuishi na mmewe. Na taraka si lazima aandike mmewe,mahakama za kidini/kiongozi wa dini anaweza kutoa taraka na ikakubalika! Ingawa wewe unaona hii ni 'nonsense' lakini uislamu umetaka kumpa haki mwanamke asiishi kwenye 'abusive relationship' au ndoa asiyoitaka.correct me if am wrong,Dini nyingi hazimpi mwanamke haki ya kupata taraka bila ya ridhaa ya mwanamme! May be that is a nonsense!
 
Mkuu kwa mujibu wa sheria ya dini nakushauri yafuatayo;

a. Kama mwanamke anakulazimisha umpe talaka mwambie akuandikie barua rasmi, halafu umwambie asubiri 3 months utamjibu..ikipita miezi mitatu mwambie tena akuandikie barua rasmi kusisitiza kuwa hataki kukaa na wewe..akiweza kufanya hivyo unaweza kuwaita wanazuoni wafanye suluhu katika ndoa yenu.

Dini gani imesema hivi?? Una ushahidi? Kuomba talaka kumeruhusiwa kwa mwanamke wa kiislamu,Kama mwanamme hampi haki na kumtesa,au mwanamme anafanya maswala yasiyo ya kidini i.e ukafili,au kama mwanamke hampendi/hataki kuwa nae.na kutoa talaka kwa mwanamme ni wajibu kwa sababu ya 'ihsani' kumbuka
“Kisha ni kumweka kwa wema au kumwacha kwa ihsani” (2: 229).
Na kuhusu kukaa nae mbali kwa mwaka, kwa mujibu wa wanazuoni hilo pia kidini linampa fursa mwanamke kuomba talaka kwa kadhi.Uliza kama hujui mila na dini ni tofauti,kukuelimisha zaidi sa kisa hiki nategemea

unaelewa kingereza sina kiswahili chake.
Islam does not want to impose an unbearable burden on women by forcing them to marry a man they dislike, because it wants marriages to be successful, based on compatibility between the partners; there should be common ground between them in terms of physical looks, attitudes, habits, inclinations and aspirations. If something goes wrong, and the woman feels that she cannot love her husband sincerely, and fears that she may commit the sin of disobeying and opposing this husband whom she does not love, then she may ask for a divorce. This is confirmed by the report in which the wife of Thabit ibn Qays ibn Shammas, Jamilah the sister of ‘Abdullah ibn Ubayy, came to the Prophet (sallallahu ‘alayhi wa sallam) and said: “O Messenger of Allah, I have
nothing against Thabit ibn Qays as regards his religion or his behavior, but I hate to commit any act of kufr when I am a Muslim. The Prophet (sallallahu ‘alayhi wa sallam) said: “Will you give his garden back to him?” -
her mahr had been a garden. She said, “Yes.” So Allah’s Messenger* sent word to him: “Take back your garden,
and give her one pronouncement of divorce.”3



















b. Usimpe ndoa; jaribu kutengana wala mwaka moja bila kuacha kuishi na kula pamoja na ikishindika tena, hapo chukua ushauri wa wanazuoni..

Sishauri kumpa mke talaka..never

Islam does not want to impose an unbearable burden on women by forcing them to marry a man they dislike, because it wants marriages to be successful, based on compatibility between the partners; there should be common ground between them in terms of physical looks, attitudes, habits, inclinations and aspirations. If something goes wrong, and the woman feels that she cannot love her husband sincerely, and fears that she may commit the sin of disobeying and opposing this husband whom she does not love, then she may ask for a divorce. This is confirmed by the report in which the wife of Thabit ibn Qays ibn Shammas, Jamilah the sister of ‘Abdullah ibn Ubayy, came to the Prophet (sallallahu ‘alayhi wa sallam) and said: “O Messenger of Allah, I have nothing against Thabit ibn Qays as regards his religion or his behavior, but I hate to commit any act of kufr when I am a Muslim. The Prophet (sallallahu ‘alayhi wa sallam) said: “Will you give his garden back to him?” - her mahr had been a garden. She said, “Yes.” So Allah’s Messenger* sent word to him: “Take back your garden, and give her one pronouncement of divorce.”3
 
Mkuu kwa mujibu wa sheria ya dini nakushauri yafuatayo;

a. Kama mwanamke anakulazimisha umpe talaka mwambie akuandikie barua rasmi, halafu umwambie asubiri 3 months utamjibu..ikipita miezi mitatu mwambie tena akuandikie barua rasmi kusisitiza kuwa hataki kukaa na wewe..akiweza kufanya hivyo unaweza kuwaita wanazuoni wafanye suluhu katika ndoa yenu..

b. Usimpe ndoa; jaribu kutengana wala mwaka moja bila kuacha kuishi na kula pamoja na ikishindika tena, hapo chukua ushauri wa wanazuoni..

Sishauri kumpa mke talaka..never

Yeye hayuko tayari kuchukuwa hatuwa ya kudai talaka badala yake ananitesa kwa vile mimi simpi talaka!
 
Usiposhauri kumpa mke talaka then the court of law will do it instead, i think u know nothing about point of no return!!....

Matola! naomba uelewe tatizo langu! Mke wangu ananifanyia vitimbi ili niumuache lakini mimi siwezi kumwacha (nina sababu nyingi) isipokuwa yeye ndio achukue hatuwa ya kudai talaka!
 
tumwagie kwanza sababu za bi mkubwa kuomba talaka, na sababu za wewe kukataa kutoa talaka tukushauri vzr. Hivi mzee tunashindwa kukupa ushauri wa maana!

Hewalla! Kilichopo ni kuwa kati yetu kila mmoja hataki kuonekana mbele ya familia kuwa ndio sababu ya kuachana!

Kinachofuata sasa yeye ni kunifanyia visa ili nimuache lakini hataki kusema ili kutonipa mimi faida ya kuepukana na lawama.
Kwa upande wangu mimi mbali ya kuogopa lawama kiukweli sijiwezi kwanza nampenda na pili tuna watoto naogopa kuwaharibia maisha. Mwenzangu analijuwa hilo hivyo anazidisha visa kunikomowa.
 
Back
Top Bottom