Mkuu kwa mujibu wa sheria ya dini nakushauri yafuatayo;
a. Kama mwanamke anakulazimisha umpe talaka mwambie akuandikie barua rasmi, halafu umwambie asubiri 3 months utamjibu..ikipita miezi mitatu mwambie tena akuandikie barua rasmi kusisitiza kuwa hataki kukaa na wewe..akiweza kufanya hivyo unaweza kuwaita wanazuoni wafanye suluhu katika ndoa yenu.
Dini gani imesema hivi?? Una ushahidi? Kuomba talaka kumeruhusiwa kwa mwanamke wa kiislamu,Kama mwanamme hampi haki na kumtesa,au mwanamme anafanya maswala yasiyo ya kidini i.e ukafili,au kama mwanamke hampendi/hataki kuwa nae.na kutoa talaka kwa mwanamme ni wajibu kwa sababu ya 'ihsani' kumbuka
Kisha ni kumweka kwa wema au kumwacha kwa ihsani (2: 229).
Na kuhusu kukaa nae mbali kwa mwaka, kwa mujibu wa wanazuoni hilo pia kidini linampa fursa mwanamke kuomba talaka kwa kadhi.Uliza kama hujui mila na dini ni tofauti,kukuelimisha zaidi sa kisa hiki nategemea
unaelewa kingereza sina kiswahili chake.
Islam does not want to impose an unbearable burden on women by forcing them to marry a man they dislike, because it wants marriages to be successful, based on compatibility between the partners; there should be common ground between them in terms of physical looks, attitudes, habits, inclinations and aspirations. If something goes wrong, and the woman feels that she cannot love her husband sincerely, and fears that she may commit the sin of disobeying and opposing this husband whom she does not love, then she may ask for a divorce. This is confirmed by the report in which the wife of Thabit ibn Qays ibn Shammas, Jamilah the sister of Abdullah ibn Ubayy, came to the Prophet (sallallahu alayhi wa sallam) and said: O Messenger of Allah, I have
nothing against Thabit ibn Qays as regards his religion or his behavior, but I hate to commit any act of kufr when I am a Muslim. The Prophet (sallallahu alayhi wa sallam) said: Will you give his garden back to him? -
her mahr had been a garden. She said, Yes. So Allahs Messenger* sent word to him: Take back your garden,
and give her one pronouncement of divorce.3
b. Usimpe ndoa; jaribu kutengana wala mwaka moja bila kuacha kuishi na kula pamoja na ikishindika tena, hapo chukua ushauri wa wanazuoni..
Sishauri kumpa mke talaka..never
Islam does not want to impose an unbearable burden on women by forcing them to marry a man they dislike, because it wants marriages to be successful, based on compatibility between the partners; there should be common ground between them in terms of physical looks, attitudes, habits, inclinations and aspirations. If something goes wrong, and the woman feels that she cannot love her husband sincerely, and fears that she may commit the sin of disobeying and opposing this husband whom she does not love, then she may ask for a divorce. This is confirmed by the report in which the wife of Thabit ibn Qays ibn Shammas, Jamilah the sister of Abdullah ibn Ubayy, came to the Prophet (sallallahu alayhi wa sallam) and said: O Messenger of Allah, I have nothing against Thabit ibn Qays as regards his religion or his behavior, but I hate to commit any act of kufr when I am a Muslim. The Prophet (sallallahu alayhi wa sallam) said: Will you give his garden back to him? - her mahr had been a garden. She said, Yes. So Allahs Messenger* sent word to him: Take back your garden, and give her one pronouncement of divorce.3