Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
astakhafurlah mhhhhhh??
Yes! That's the way it is!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
astakhafurlah mhhhhhh??
Hakukuambia kwa sababu ya woga wa kukupoteza. Elewa hilo kwanza.
Pili, mtoto mwenye umri say wa miaka 20 huwezi kumkumbatia na kumpenda kama wa kwako. Amelelewa malexi tofauti kabisa na ulivyolea wanao, utabahatika kama ana tabia nyingi za kupendeza lakini usiwe na mategemeo makubwa sana kuhusu yeye kwa sababu humjui. Mkubali, msamehe mumeo na endelea na maisha yenu.
Sheria hailazimishi umtunze wala kuishi nae. Mfanye kama binamu za wanao. Aje kuwatembelea. Lakini hana haki ya kurithi chochote ulichochuma na baba yake, hiyo ni wazi. Katika maongezi usilitaje sana hili ili upate habari za ziada.
Pole Mitihani, muambie mumeo akuambie mengine anayokuficha.
una uhakika aisee? ina maana mama yake yeye ale maisha huko na kulala gesti hausi na mie nnaekula shurba hapa tunapandisha tofali pamoja na baba yao then tugawane?
kama kweli sheria inasema hivyo juu ya urithi nadhani ni makosa kabisa. na je mama akizaa na mtu mwingine ilhali ndani ya ndoa, hiyo sheria nzuri inasemaje juu ya urithi? manake yanatokea hayo na tunayaona
Sheria mpya ya watoto ya mwaka 2009 imeleta mabadiliko makubwa sana. Mtoto wa nje katika sheria ya zamani hawakuwa na haki ya kurithi,katika sheria mpya mtoto huyu anahaki zote kama watoto waliozaliwa ndani ya ndoa.
Na baba wa mtoto huyu anawajibu wa kumtuza kama watoto wengine na anahaki ya kuwafahamu ndugu zake wote.
Kama mmeo akifariki (god forbid), mtoto anahaki ya kurithi na pia kuhudumiwa kama watoto wengine. Haijalishi kama aliletwa nyumbani au laa. If he can prove kuwa yule ni baba yake na alikuwa anamuhudumia, then he is very much entitled.
Sasa ilikuondokana shari baadae, andikeni will, muende kwa mwanasheria awasaidie. Na pili amjenge huyu mtoto nyumba au ata amnunulie kiwanja amuachie.
Baada ya kuoana na kuzaa watoto 4 na kuishi kwenye ndoa pamoja kwa miaka 15 na kuchuma mali zetu pamoja maana wote ni watumishi na kuandika majina yetu mawili kama wamiliki.
Mume anakuja kusema kabla hajanioa alikuwa na mtoto alizaa anaomba nimtambue. Hapa sheria au haki ya huyu mtoto ikoje?
Hiphop, conflict ndo ipo hapo.But it all comes down to how u present ur arguments in court. Isijasikia any precedent on that or niseme sijafwatilia kama kuna any precedent inayozungumzia hiyo ishu.
But all in all, hiyo sheria inayozunguzia mtoto wa nje asirithi is primitive au unfair. Thats why ilibadilishwa na the new law. Any judge or magistrate would be absurd to render the primitive law valid epecially with the existance of the 2009 law of the child act.
Sheria ndivyo inavyosema mtoto wa nje anahaki ya kurithi na anahaki ya kuhudumiwa kama watoto wengine. The same applies kwa mtoto wa nje wa mama.
Mfano: mie baba yangu anawatoto wa nje ambao wanatambulika.home na kwenye ukoo. Baba anawahudumia na pia ameandika will kila mtoto anachake.
Ndo maana nimemshauri waandike will, likitokea la kutokea kinga yake ni ile will.
kinauche, Kama ikigungulika mtoto sio wako, huyo mtoto atakuwa ni mtoto wa nje (illegitimate child). Kwa maana hiyo sheria haikulazimishi kumhudumia huyo mtoto. Na incase mama yake akifa, huyu mtoto atakuwa entitled urithi wa mali za mama yake this is according to the law of the child act 2009. Hata hivyo sheria za kimila zinasema mtoto wa ndani ya ndo ni wa baba na mtoto wa nje ya ndoa ni wa mama. So automatically huyu mtoto atakuwa jukumu la mama na baba yake mzazi (biological father).
Na pia huyu mtoto anahaki ya kuwafahamu ndugu zake. So kama kuna watoto uliozaa na huyo mama, huyo mtoto anahaki ya kuwafahamu.
elezea ana haki kivipi na weka vifungu vya sheria hapa. i will come back to this with authorities.Sheria mpya ya watoto ya mwaka 2009 imeleta mabadiliko makubwa sana. Mtoto wa nje katika sheria ya zamani hawakuwa na haki ya kurithi,katika sheria mpya mtoto huyu anahaki zote kama watoto waliozaliwa ndani ya ndoa.
Na baba wa mtoto huyu anawajibu wa kumtuza kama watoto wengine na anahaki ya kuwafahamu ndugu zake wote.
Kama mmeo akifariki (god forbid), mtoto anahaki ya kurithi na pia kuhudumiwa kama watoto wengine. Haijalishi kama aliletwa nyumbani au laa. If he can prove kuwa yule ni baba yake na alikuwa anamuhudumia, then he is very much entitled.
Sasa ilikuondokana shari baadae, andikeni will, muende kwa mwanasheria awasaidie. Na pili amjenge huyu mtoto nyumba au ata amnunulie kiwanja amuachie.
nilijua labda umeeelewa, sahamani. but, unaongea kutokana na hisia au unaongea vile sheria inavyosema? do you have any knowledge of this type of law?Dunia inawakataa kivipi wakati umesema ni dini - yani Mungu - ndio anawakataa?
Halafu hapo hapo unarudi kinyume nyume unajaribu kumpa Mungu credit kwa kuwapenda hawa watoto wakati wewe mwenyewe umesema ni watoto wa uzinifu na ni haramu na hawatakasiki hata ufanyeje! Sasa kama ni watoto haramu hiyo haramu ni kwa mujibu wa nani, shetani? Haramu kwa Mungu no less! Mbona mnapenda kumfagilia huyu Mungu kwa vitu senseless vinavyodhihirisha kwamba dini hai make sense at all?
technical comment, a very rare brand at JF.
illegitimate child/child born out of wedlockMtoto wa nje kwa kizungu anaitwaje? Nataka ni gugo
naomba sisi sote tuje na vifungu vya sheria ya watoto namba 21 ya 2009 vinavyosema hivyo, hapo ndio tutaelewana. kwa mfano:Umesite kesi ya mwaka 90 kama precedent? Najua hiyo kesi mnasoma vyuoni sababu ndo ni ya CAT na ndo TLR mlizonazo kwa wingi..lakini Hujui position imebadilika hasa baada ya kuja into force The Law of the Child Act,2009 iloanza rasmi kutumika mwaka 2010?