Haki ya mtoto huyu wa nje ya ndoa ikoje?

Haki ya mtoto huyu wa nje ya ndoa ikoje?

Mgawie urithi au atapata urithi wa baba ake kisheri inaruhusiwa baba kuamua kugawa baadhi ya urithi wake kwa mtu ampendae
lakini akifanya hivyo atakuwa amegawa kwenye wosia si kugawa kwa mtoto halali bali kwa mtu baki kama vile tu ambavyo angegawa kwa rafiki etc.
 
hakuna kitu kinachitwa mtoto wa nje jamani......mtoto anaweza akaitwa kua amezaliwa out of wedlock pale panapokua na subsisting mariage.lakini kwa kiafrica mtoto anahalalishwa tafadhali....na kama mumeo kakuambia ana mtoto kakuheshim sana tena sana ......ukipata utata kwa haya tafadhali nipigie kama hautojali. 0717205888
 
Hakuna mtoto anaitwa wa nje tafadhali sana heshimu haki za watoto na kwamba huyo mtoto kama mumeo alimzaa kabla ya kuwa nawe na kwamba kosa lake ni kutokukuambia mapema bado hailalalishi wewe kumwita ni mtoto wa nje na kwa minajili hiyo ni kama unataka kusema humtambui

Jitahidi uondokane na roho ya namna hiyo na jifunze kukubali uhalisia kwani hata kama ukimkataa atabaki kuwa ni mtoto wenu au wako kama utamkumbatia kwa dhati na kumpenda kama uliyemzaa mwenyewe, kama ungekuwa ni wewe mezalishwa na mwanaume ambaye baadae akakukacha na baadae akataka kumhudumia mwanao ungekataaa?

kila mtoto anahaki na kwamba neno mtoto wa nje halipaswi litamkwe kwenye vinywa vya watu wenye kujua maana ya utu
Jibu SWALI SHERIA inasemaje juu ya URITHI?
 
Back
Top Bottom