Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
lakini akifanya hivyo atakuwa amegawa kwenye wosia si kugawa kwa mtoto halali bali kwa mtu baki kama vile tu ambavyo angegawa kwa rafiki etc.Mgawie urithi au atapata urithi wa baba ake kisheri inaruhusiwa baba kuamua kugawa baadhi ya urithi wake kwa mtu ampendae
Mtoto wa nje kwa kizungu anaitwaje? Nataka ni gugo
Yupo hata biblia inatambua hiloHakuna mtoto anaitwa wa nje tafadhali sana heshimu haki za watoto
Kipo hata biblia inajua hilohakuna kitu kinachitwa mtoto wa nje jamani...
Ila nyie kuoa single mother hamtakiHuyu mwanamke ni miongoni kati ya wale wa mama wa kambo wenye roho mbaya kuliko sumu ya panya!
Jibu SWALI SHERIA inasemaje juu ya URITHI?Hakuna mtoto anaitwa wa nje tafadhali sana heshimu haki za watoto na kwamba huyo mtoto kama mumeo alimzaa kabla ya kuwa nawe na kwamba kosa lake ni kutokukuambia mapema bado hailalalishi wewe kumwita ni mtoto wa nje na kwa minajili hiyo ni kama unataka kusema humtambui
Jitahidi uondokane na roho ya namna hiyo na jifunze kukubali uhalisia kwani hata kama ukimkataa atabaki kuwa ni mtoto wenu au wako kama utamkumbatia kwa dhati na kumpenda kama uliyemzaa mwenyewe, kama ungekuwa ni wewe mezalishwa na mwanaume ambaye baadae akakukacha na baadae akataka kumhudumia mwanao ungekataaa?
kila mtoto anahaki na kwamba neno mtoto wa nje halipaswi litamkwe kwenye vinywa vya watu wenye kujua maana ya utu