Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Sasa sisi tufanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijajua nitampataje kwani nikiongea nae bado ananipotezeapotezea
mhurumie tu lizzy,hajaonja toka mwaka 2005 duhKwahiyo nia yako tukupe jinsi???
Aende wapi!! bado anafananishaUmeshaenda front au bado unajivuta? Usirembe kaka kama vipi tangaza nia mapema.
Hapo inanipa wasiwasi kama utakuja kuoa hapa duniani....!kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
Sasa usishangae shangae tena ....,,
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
kuna msichana mmoja nilimpenda sana sikufanya nae mapenzi kwani nilijua nitakuja kumuoa kwa uchungu alibikiriwa na kijana mmoja hivyo akanitosa nilipata uchungu sana kwani nilikuwa nampenda tangu mwaka 2005 hadi leo sijatafuta msichana mwingine ila mwezi uliopita nimekutana na dada mmoja hapa chuoni anafanana kila kitu ambacho nilikuwa napenda kwa yule wa kwanza rangi, kutembea, macho, pozi, sauti tabasani hadi maumbile kwa kweli amenikosha sana ama hakika watu wanafanana jamani
Fuata ushauri huu, tema sera uchukue jimbo. Vinginevyo vyama vya upinzani vinaweza kukata utepe tena ukapoteza mood.Sasa usishangae shangae tena ....,,
Domo zege nini mkuu..........ila kuwa makini akijua kuwa unamfananisha na x-gal wako anaweza akachukia.Kuna watu hawapendi kufananishwa na ma'Xs.....
Sasa ye anakaa kutuhadithia walivyofanana wakati wenzake wanatafuta hati miliki!
Tacho nkohane iryogho mbane,umwiseke uyo kama nomo hachele nola mwimuki
bhunyoobhu kabhisa,...
Hai oghosoma kana?
Uni kumulima nde,...omoka gho kabhere