Haki ya Wapalestina

Haki ya Wapalestina

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee, propaganda za hovyo dhidi ya Wapalestina hazina maana yoyote, tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza, mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu, wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote, lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao. Mungu sio dhulumati. Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana, na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu, roho inaniuma sana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udhulumati
 
Siku HAMAS ilipo vamia ISRAEL wakaua, na kuteka raia wa Israel na wa nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania. Yani Nchi za kiarabu walikuwa wakipiga ngumi hewani wakisema Takibirrrr , wengine wakijibu Allah Akbar!

Yani ilikuwa ni Furaha kwao, hawakujali waliuwa na kuumiza mioyo ya wengine, watoto na wanawake wa wengine.

Walivyo anaza kupigwa walitamba TULIJIANDAA kwa vita ya muda mrefu, Mara hii Israel hachomoi.

Kipigo kilivyo zidi tukaanza kusikia wanaua WANAWAKE na WATOTO. Jamaa walipoongeza kipigo tukasikia, wanauwa wagonjwa mahospitalini, na mara wanauwa watoa huduma za kijamii.

Jamani, Binafsi napenda sana VITA hasa kwa watu vichwa ngumu wasiotaka suluhu na binadamu wenzao, kujidai wao ndio wanajua sana haki, au kujua kuidai.

Palestina wapewe haki yao na Mungu yupi? Palestina na waarabu wenzao hawataki kutambua uwepo wa taifa la Israel, lakini wanataka Israel itambue uwepo wa taifa la Palestina. Kama sio uwenda wazimu ni nini?

Hutaki kumtambua jirani yako lakini unataka yeye akutambue wewe.

Iran inawadanganya, kama Iran inataka kupigana na Israel ipigane wazi wazi bila kujificha migongoni mwa makundi kama HAMAS na HEZBOLLAH.

Zipigwe kavu kavu man to man, hakuna kuamulia wala cease fire, mpaka kieleweke, tupate mshindi wa wazi, ama Israel au Iran.
NAPENDA VITA na VITA HULETA HESHIMA.
 
Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee,propaganda za hovyo dhidi ya wapalestina hazina maana yoyote,tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza,mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu,wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote,lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao.Mungu sio dhulumati.Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana,na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu,roho inaniuma sana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udulumati

Kwahiyo una shauri tufanye nini? Kuna vitu vingine wajinga ndio wanavitafuta. Vikiwapata inakuwa msiba
 
Siku HAMAS ilipo vamia ISRAEL wakaua, na kuteka rai wa Israel na wa nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania. Yani Nchi za kiarabu walikuwa wakipiga ngumi hewani wakisema Takibirrrr , wengine wakijibu Allah Akbar!

Yani ilikuwa ni Furaha kwao, hawakujali waliuwa na kuumiza mioyo ya wengine, watoto na wanawake wa wengine.

Walivyo anaza kupigwa walitamba TULIJIANDAA kwa vita ya muda mrefu, Mara hii Israel hachomoi.

Kipigo kilivyo zidi tukaanza kusikia wanaua WANAWAKE na WATOTO. Jamaa walipoongeza kipigo tukasikia, wanauwa wagonjwa mahospitalini, na mara wanauwa watoa huduma za kijamii.

Jamani, Binafsi napenda sana VITA hasa kwa watu vichwa ngumu wasiotaka suluhu na binadamu wenzao, kujidai wao ndio wanajua sana haki, au kujua kuidai.

Palestina wapewe haki yao na Mungu yupi? Palestina na waarabu wenzao hawataki kutambua uwepo wa taifa la Israel, lakini wanataka Israel itambue uwepo wa taifa la Palestina. Kama sio uwenda wazimu ni nini?

Hutaki kumtambua jirani yako lakini unataka yeye akutambue wewe.

Iran inawadanganya, kama Iran inataka kupigana na Israel ipigane wazi wazi bila kujificha migongoni mwa makundi kama HAMAS na HEZBOLLAH.

Zipigwe kavu kavu man to man, hakuna kuamulia wala cease fire, mpaka kieleweke, tupate mshindi wa wazi, ama Israel au Iran.
NAPENDA VITA na VITA HULETA HESHIMA.
Umeandika mambo ya msingi
 
Walipouwawa akina mollel mlichekelea sana
hakuna mtu anachekelea mtu kuuawa,jambo la muhimu ninkuliangalia jambo hili kwa muktadha mpana,ni wa palestina wangapi wameuawa na waisraeli? maazimio mengi yasiyo na hesabu yametolewa na UN dhidi ya waisraeli na yamepuuzwa,WAPALESTINA WANAONEWA WAZIWAZI
 
Walianza ugaidi dhidi ya Israel Oct 7 wakaenda mbali zaidi na kuuwa watanzania wawili.
Wacha washughulikiwe
Katibu Mkuu wa UN alisema kilichofanyika Oct 7 kilitoka na mateso wanayopitishwa Wapalestina na Israel.

Mzee hiko hivi Palestina haijapata Uhuru mpaka leo tunaongea hapa, na Israel haitaki ata kidogo Palestina ipate uhuru na ndiyo maana ameendelea kupora ardhi ya Palestina miaka na miaka kwa kujenga mkazi ya walowezi.

Palestina huko uruhusiwi kupeleka chochote bila kibali cha Israel, Kwaiyo unayaona haya ni matokeo ya unyana wanaufanya Waisrael kwa Wapalestina miaka miaka ili la Oct 7 linakuzwa sababu alieguswa ni mtu ambae anamiliki Media ila unyama waliufanya ao Waisrael kwa Wapalestina hauna mfano! Wamewaua kwelikweli toka miaka ya 1900.
 
Kenge wewe mbona ya oktoba 7 hukuleta Uzi halafu ulivyokua mwehu eti unasema wewe ni mkristo Ili kujiwekea Kinga mapema
Mkuu ata Oct 7 angeleta uzi wala isingeondoa ukweli kuwa Israel inawaonea sana Wapalestina, naomba nikuambie kuwa Israel haikuanza kuivamia na kuua Wapalestina baada ya tukio la October 7, October 7 ni matokeo ya yale Israel ilifanya huko nyuma dhidi ya Palestina na hata ungekuwa wewe ukionewa ungekaa kimya? Si unatafuta njia ya resist? Ndiyo hivo sasa kuwa Wapalestina wanapambana kutaka uhuru wao na nakukumbusha kuwa Palestina haijawahi kupata Uhuru na anaezuia wasipate Uhuru Israel huyuhuyu.
 
Siku HAMAS ilipo vamia ISRAEL wakaua, na kuteka raia wa Israel na wa nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania. Yani Nchi za kiarabu walikuwa wakipiga ngumi hewani wakisema Takibirrrr , wengine wakijibu Allah Akbar!

Yani ilikuwa ni Furaha kwao, hawakujali waliuwa na kuumiza mioyo ya wengine, watoto na wanawake wa wengine.

Walivyo anaza kupigwa walitamba TULIJIANDAA kwa vita ya muda mrefu, Mara hii Israel hachomoi.

Kipigo kilivyo zidi tukaanza kusikia wanaua WANAWAKE na WATOTO. Jamaa walipoongeza kipigo tukasikia, wanauwa wagonjwa mahospitalini, na mara wanauwa watoa huduma za kijamii.

Jamani, Binafsi napenda sana VITA hasa kwa watu vichwa ngumu wasiotaka suluhu na binadamu wenzao, kujidai wao ndio wanajua sana haki, au kujua kuidai.

Palestina wapewe haki yao na Mungu yupi? Palestina na waarabu wenzao hawataki kutambua uwepo wa taifa la Israel, lakini wanataka Israel itambue uwepo wa taifa la Palestina. Kama sio uwenda wazimu ni nini?

Hutaki kumtambua jirani yako lakini unataka yeye akutambue wewe.

Iran inawadanganya, kama Iran inataka kupigana na Israel ipigane wazi wazi bila kujificha migongoni mwa makundi kama HAMAS na HEZBOLLAH.

Zipigwe kavu kavu man to man, hakuna kuamulia wala cease fire, mpaka kieleweke, tupate mshindi wa wazi, ama Israel au Iran.
NAPENDA VITA na VITA HULETA HESHIMA.
jiulize kitu,kabla ya tukio.hilo udhalimu uliofanywa na waisraeli dhidi ya wapalestina ni mkubwa mno,tusiangalie jambo hili kwa uvamizi wa hamas wa october 7,tutende haki pande zote
 
Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee,propaganda za hovyo dhidi ya wapalestina hazina maana yoyote,tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza,mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu,wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote,lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao.Mungu sio dhulumati.Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana,na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu,roho inaniuma sana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udulumati

Wakueleweje wayahudi wa buza, buza kwa mpalange huko?
 
Ipo siku,ambayo mimi na wewe hatuijui haki ya wapalestina itakuja,ni suala muda tuu
Tatizo la Palestina ni Iran ndio maana unaona nchi nyingi za kiarabu zinaendelea tu na mambo yao Iran ndio mchochezi mkuu wa mgogoro Palestina
 
Kenge wewe mbona ya oktoba 7 hukuleta Uzi halafu ulivyokua mwehu eti unasema wewe ni mkristo Ili kujiwekea Kinga mapema
Asante,muhimu kuliko yote elewa wapalestina wanaonewa,sibabaiki kwa hiyo lugha unayotumia,mtu anapojishusha chini kabisa kimaadili,dawa sio kwenda chini aliko bali ni kwenda juu sana,kumuonesha kuwa ustaarabu ni kipimo cha utu
 
Tatizo la Palestina ni Iran ndio maana unaona nchi nyingi za kiarabu zinaendelea tu na mambo yao Iran ndio mchochezi mkuu wa mgogoro Palestina
Asante kwa maoni,japo nakushauri ongeza bidii kufanya utafiti ukweli utauona
 
Asante,muhimu kuliko yote elewa wapalestina wanaonewa,sibabaiki kwa hiyo lugha unayotumia,mtu anapojishusha chini kabisa kimaafili,fawa sio kwenda chini aliko bali ni kwenda juu sana,kumuonesha kuwa ustaarabu ni kipimo cha utu
Hamna kuonewa watoke hapo sio kwao ni Kwa myahudi shenzi kabisa hzo wapalestina na wazidi kuuwawa wanakalia ardhi ya myahudi
 
Hamna kuonewa watoke hapo sio kwao ni Kwa myahudi shenzi kabisa hzo wapalestina na wazidi kuuwawa wanakalia ardhi ya myahudi

IMG_20240508_164459.jpg
 
Back
Top Bottom