Haki ya Wapalestina

Haki ya Wapalestina

Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee,propaganda za hovyo dhidi ya wapalestina hazina maana yoyote,tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza,mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu,wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote,lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao.Mungu sio dhulumati.Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana,na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu,roho inaniuma sahana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udulumati
Sasa na wewe ndiyo umefanyaje hapo?Umelalamika tu mwanzo mwisho.Uandishi wenye misingi yake na ujumbe kufika nao ni kipaji.
 
Asante,muhimu kuliko yote elewa wapalestina wanaonewa,sibabaiki kwa hiyo lugha unayotumia,mtu anapojishusha chini kabisa kimaafili,fawa sio kwenda chini aliko bali ni kwenda juu sana,kumuonesha kuwa ustaarabu ni kipimo cha utu
Wanaonewa nini? Wana serikali yao na raisi wao na eneo lao chokochoko kwa Israel za nini ? Kila mtu akae kwake aendelee na mambo yake..

Wapalestina wanapigana vita vya kidini ,Israel inapigania ardhi yake sio dini ndio maana kuna uungwaji mkono mkubwa kwa Israel kimataifa kuliko Palestina wapigania Allah

Kushabikia vita ya kidini ndio kunawasumbua Wapalestina vinginevyo wangeweza ishi vizuri tu kwa amani bila shida

Udini wa Iran sumu mbaya inayovuruga Palestina
 
Tatizo la Palestina ni Iran ndio maana unaona nchi nyingi za kiarabu zinaendelea tu na mambo yao Iran ndio mchochezi mkuu wa mgogoro Palestina

Kwa hiyo kwa sababu kina UDP, chausta, CUF na wenzao wamekubali yaishe, basi hawa wanaokomaa kudai haki zao ndiyo wachochezi?

Makamanda kama wewe bakini huko huko kwenu, huku kwingine ni mzigo!
 
Wanaonewa nini? Wana serikali yao na raisi wao na eneo lao chokochoko kwa Israel za nini ? Kila mtu akae kwake aendelee na mambo yake..

Wapalestina wanapigana vita vya kidini ,Israel inapigania ardhi yake sio dini ndio maana kuna uungwaji mkono mkubwa kwa Israel kimataifa kuliko Palestina wapigania Allah

Kushabikia vita ya kidini ndio kunawasumbua Wapalestina vinginevyo wangeweza ishi vizuri tu kwa amani bila shida

Udini wa Iran sumu mbaya inayovuruga Palestina

IMG_1567.jpg
 
Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee,propaganda za hovyo dhidi ya wapalestina hazina maana yoyote,tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza,mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu,wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote,lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao.Mungu sio dhulumati.Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana,na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu,roho inaniuma sana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udulumati
Dua ya haki haipingwi hata ikichelewa ila ushindi kwa wenye haki lazima wataupata ,,tuko pamoja mkuu
 
Kenge wewe mbona ya oktoba 7 hukuleta Uzi halafu ulivyokua mwehu eti unasema wewe ni mkristo Ili kujiwekea Kinga mapema
Hakuna mkristo anayejielewa akatetea upuuzi wa Israel ..(anayejielewa )
 
Hata kiongozi wenu mkuu anayalaani haya yanaofanyika na Israel .ubaya utabaki kua ubaya hata ukifanywa na dini yako ambayo unahisi ni ya halali
 
Siku HAMAS ilipo vamia ISRAEL wakaua, na kuteka raia wa Israel na wa nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania. Yani Nchi za kiarabu walikuwa wakipiga ngumi hewani wakisema Takibirrrr , wengine wakijibu Allah Akbar!

Yani ilikuwa ni Furaha kwao, hawakujali waliuwa na kuumiza mioyo ya wengine, watoto na wanawake wa wengine.

Walivyo anaza kupigwa walitamba TULIJIANDAA kwa vita ya muda mrefu, Mara hii Israel hachomoi.

Kipigo kilivyo zidi tukaanza kusikia wanaua WANAWAKE na WATOTO. Jamaa walipoongeza kipigo tukasikia, wanauwa wagonjwa mahospitalini, na mara wanauwa watoa huduma za kijamii.

Jamani, Binafsi napenda sana VITA hasa kwa watu vichwa ngumu wasiotaka suluhu na binadamu wenzao, kujidai wao ndio wanajua sana haki, au kujua kuidai.

Palestina wapewe haki yao na Mungu yupi? Palestina na waarabu wenzao hawataki kutambua uwepo wa taifa la Israel, lakini wanataka Israel itambue uwepo wa taifa la Palestina. Kama sio uwenda wazimu ni nini?

Hutaki kumtambua jirani yako lakini unataka yeye akutambue wewe.

Iran inawadanganya, kama Iran inataka kupigana na Israel ipigane wazi wazi bila kujificha migongoni mwa makundi kama HAMAS na HEZBOLLAH.

Zipigwe kavu kavu man to man, hakuna kuamulia wala cease fire, mpaka kieleweke, tupate mshindi wa wazi, ama Israel au Iran.
NAPENDA VITA na VITA HULETA HESHIMA.

"Oct 7 didn't happen from nowhere." -- Guterres.

Matokeo yake:

IMG_20241009_121602.jpg
 
sijakushauri wewe au mwingine chochote bali nasema wapalestina wanaonewa,vyombo vya kidunia vinavyohusika viwatetee.
Kama Dunia inataka amani mashariki ya kati, kama inataka wapalestina na Wayahudi waishi kwa amani, lazima itafutwe njia ya kuidhibiti Iran. Iran ndiye shetani mkubwa hapo Mashariki ya kati, siyo tu kwa Wayahudi na wapalestina bali kwa nchi zote za Mashariki ya kati.

Mazungumzo yalikuwa yanaenda vizuri, mpaka Wapalestina wakapewa mamlaka yao ya ndani, wakawa na Serikali yao, na kufuatia makubaliano yale ya wakati wa utawala wa George Bush, aliyesimamia makubaliano kati ya Israel na Wapalestina, ilikuwa zoezi la Wapalestina kupewa nchi kamili liende hatua kwa hatua. Kwanza wapewe mamlaka ya ndani, wakati huo kuwe na ufuatiliaji wa kuona kama wapalestina hawataishambulia Israel, maana hofu kubwa ya Israel ni kuwa na Taifa hasimu kwenye mipaka yake. Mambo yalienda vizuri mwanzoni, lakini Iran haikutaka, ikiwa imeshikilia falsafa yake kuwa Wayahudi hawastahili kuwepo Duniani, na wapalestina wamefanya makosa kufanya makubaliano na wazayuni ambao dini yao inasema hawatakiwi kuwepo Duniani, wanatakiwa kuangamizwa; Iran ikaanzisha kundi la kigaidi la Hamas, kwanza kundi hili la kigaidi likaipiga Serikali ya Palestina, ikateka eneo la Gaza, na kuanzisha utawala wake uliokuwa adui wa utawala wa Ramallah, na kisha ikaanza kufanya mashambulio ya kuwaua wayahudi. Serikali ya Israel ikachukua msimamo mkali dhidi yao maana hujui yupi anakusogelea kwa nia njema na yupo kwa dhamira mbaya, ikajenga uzio, lakini hamas wakawa wanaoenya na kwenda kuwashambulia Israel au kuwaua wapalestina wanaonekana kuwa karibu na Israel. Wawo wanachotaka ni kuwepo na uhasama mkubwa.

Hivyo ufahamu kuwa, hata leo hii Israel ikatangaza kuwapa nchi Wapalestina, Iran haitakubali, itaitumia nchi hiyo ya Palestina kujijenga na kuanzisha mapigano dhidi ya Israel.

Ufahamu kuwa makundi ya kigaidi ya Iran, yalizipiga Serikali za Lebanon, Yemen, Syria, na sasa Iraq. Serikali za nchi hizo zimebakia serikali jina lakini wenye nguvu ni hayo makundi ya kigaidi. Ndiyo maana serikali za nchi hizo zinaisaidia Israel kwa kuipa taarifa za kiintelijensia kwa siri.

Bila kudhibitiwa Iran, Mashariki ya kati, yote ipo hatarini. Tatizo ni Iran, nchi inaongozwa na kiongozi wa dini ambaye ana imani kwamba Serikali katika nchi zote Duniani zinatakiwa kuwa kwa mujibu wa quran, na sheria inayotakiwa kufuatwa Duniani kote ni Sharia Law. Na anaamini kuwa siku moja Dunia yote itakuwa ya waislam, na serikali itakuwa moja tu inayofuata sharia law, na hivyo ili kulifikia hilo, Duniani kote waislam wote wanatakiwa kupambana kuhakikisha hilo linatokea. Falsafa ya Iran ni hatari kwa usalama wa Dunia nzima.
 
Hata humu kuna watu wanaandika maneno mabaya dhidi ya wapalestina,tena bila ushahidi wala kutafuta ukweli.

Wapalestina wanaonewa kwa kiwango cha ajabu,wapenda haki ni lazima tuwatetee,propaganda za hovyo dhidi ya wapalestina hazina maana yoyote,tuepuke kutoa shutuma kwa wapalestina mara ooh sijui waislamu mara oh wao ndio wameanza,mara ohh hiyo ardhi ya wayahudi walipewa na Mungu,wanauawa

Wazee,watoto,wanawake,wasio na hatia,njama za waziwazi za kuwaua ili waishe wote,lakini Mungu yupo ipo siku atawapa haki yao.Mungu sio dhulumati.Mimi ni mkristo japo sio niliyeshika dini sana,na mmoja wa wazazi wangu anatoka ulaya magharibu,roho inaniuma sana jinsi wapalestina wanavyouliwa,ila ipo siku historia itajibu huu udulumati
Jitokeze hadhari basi uandamane katikati ya mji pale askari monument watakuja wenzako kukusapoti wakina
Ritz
Webabu
FaizaFoxy
Kosugi
Malaria 2
Et al....
 
joulize kitu,kabla ya tukio.hilo udhalimu uliofanywa na waisraeli dhidi ya wapalestina ni mkubwa mno,tusiangalie jambo hili kwa uvamizi wa hamas wa october 7,tutende haki pande zote
Fuatilia baada ya uanzishwaji wa Mamlaka ya ndani ya Palestina, hali ilikuwaje. Kutokea pale, fuatilia, ni nani walianzisha yale mashambulio ya kuua wengine kwa mashambulio ya kujitoa mhanga. Na ufuatilie mashambulio yale yalikuwa yanatokea Westbank au Gaza. Fuatilia pia kiasi cha Oesa ambayo Israel ilikuwa inaipa Serikali ya mjini Ramallah, na idafi ya Wapalestina waliokuwa wameajiriwa na taasisi mbalimbali ndani ya Israel. Fuatilia, ujue ujenzi wa miundombinu mbalimbali pamoja na makazi ya watu yaliyojengwa na Setikali ya Israel kwaajili waplestina huko Gaza na Westbank.

Hakika ilichokuwa ikifanya Israel kwa wapalestina baada ya makubaliano yale, hata sisi hapa kwetu Serikali haifanya: ujenzi wa nyumba za makazi, umeme bure, maji bure, barabara nzuri za lami mitaani, mishahara mizuri hata kwa kazi zisizo za ujuzi.
 
Fuatilia baada ya uanzishwaji wa Mamlaka ya ndani ya Palestina, hali ilikuwaje. Kutokea pale, fuatilia, ni nani walianzisha yale mashambulio ya kuua wengine kwa mashambulio ya kujitoa mhanga. Na ufuatilie mashambulio yale yalikuwa yanatokea Westbank au Gaza. Fuatilia pia kiasi cha Oesa ambayo Israel ilikuwa inaipa Serikali ya mjini Ramallah, na idafi ya Wapalestina waliokuwa wameajiriwa na taasisi mbalimbali ndani ya Israel. Fuatilia, ujue ujenzi wa miundombinu mbalimbali pamoja na makazi ya watu yaliyojengwa na Setikali ya Israel kwaajili waplestina huko Gaza na Westbank.

Hakika ilichokuwa ikifanya Israel kwa wapalestina baada ya makubaliano yale, hata sisi hapa kwetu Serikali haifanya: ujenzi wa nyumba za makazi, umeme bure, maji bure, barabara nzuri za lami mitaani, mishahara mizuri hata kwa kazi zisizo za ujuzi.
Hapa ndipo unapokosea bro,anzia hapa,nani kadhulumu ardhi ya mwenzie? je ni wapalestina wangapi wameuawa na waisraeli? je ninwapalestina wangapi wamefungwa bila hatia na kinyume na haki?
 
Tsh Hawa palestina wapo vitani mda wote ila siku wakipata amani nakutulia usishangae Tanzania tukapitwa kiuchumi🤔
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Tsh Hawa palestina wapo vitani mda wote ila siku wakipata amani nakutulia usishangae Tanzania tukapitwa kiuchumi🤔
Hilo halipo,maana Afaghanistan,Libya na iraq hakuna waisrael wanauana wenyewe kwa wenyewe
kama ilivyokuwa zamani fimbo zilivyokuwa zikitembea misikiti ya kwa mtoro na mwembechai
 
Back
Top Bottom