Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Wakuu kuna clip zimesambaa Jana za boss ruge wa clouds FM amerekodiwa na aliyekuwa mpz wake aliyezaa nae watoto 2 akimlilia huyo mwanamke asimuache, baada ya huyo mwanamke ambaye ni mtangazaji wa cloud fm anaeitwa Zamaradi Mketema kuamua kuolewa na anaesemekana ni mtoto au mtu wa karibu na mh waziri mkuu kassim majariwa, je anaweza kufungua shauri mahakamani akadai haki yake ya privacy kuingiliwa bila idhini yake, wataalamu wa sheria mtusaidie,

Mytake:nimeamini mapenz yana nguvu kwa jinsi jamaa alivyokua analia huyo dada anaonekana mtamu sana ,wanaume pia tuwe makini tuache michepuko hawa wanawake wamekua makatili sana now days
Duuuh kwa mbunye zilivyokua nyingi unalia,huyo mlangira atakua boya watu wanaachana watoto 7 hawalii sembuse yeye wawili tena wa hawara
 
Back
Top Bottom