Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Niliacha kuishi maisha yangu pale nilipopata mtoto wa kwanza. Hapo ndipo ubinafsi wa kutaka nitakayo uliniondoka. Nikaanza kuishi kama role model, rafiki, mzazi, mume, jirani, mtoto, mwalimu, muumini. Yote haya niliyafanya kwa ajili ya familia kwa lengo la kuwatengenezea nyayo za kufuata, kumbukumbu na tabia za kuziishi pamoja mbinu za kimaisha.Well Siwez kufaham kwann jamaa alilia may b kuna kitu alijua hatakipata kwingine kirahis.(“may be” who knows? no one exept ruge himself)
Jamaa kama mwanaume hakufaa kulia hata kidogo (kwamtazamo wangu).
Naweza nikatolea mfano familia yangu .
Mnamo mwaka 2005 Mama aliondoka nyumbani na baba alikua akimshauri arudi( “si kwakulia ” usibishe coz me ndo najua.) nafaham alimshauri arudi si kwakumpenda saana bali kwakutambua kua watoto wake (sisi wa 3) tutakosa malez bora na yeye alikua mtu wakwenda dukan asubuh na kurud jion na sisi ndo tulikua primary wote wa3 lkn mama aligoma kurud may be nae alitaka aliliwe( “who knows”? no one exept my mom)
Basi baba aliamua kutulea bila kuoa mwanamke mwingine mpaka leo hii wote watatu tupo vyuo vikuu alikua akirudi mchana kutupikia hadi tulipo fika sekondari wote akatupeleka boarding kila mmoja.
NB: kwa tetesi nazoziskia mtaani ana tembeza rungu c kitoto [emoji23] lkn sijawai muona analeta mwanamke nyumbani ss tukiwepo.
kama mwanaume bwana rugea ali faa kuangalia mbele kuwalea watoto na sio kumlilia mwanadam “Note from my father
1: usije kaa ukamlimlilia mwanadamu hasa mwanamke (ilhali wanawake wapo wengi duniani na wanahitaj wanaume ni warembo na nizaid ya wife matirial so Y ujiumize kulilia kiumbe kinacho kuny* .Nenda kamlilie Mungu wako kansani au lilia pesa sio Mwanamke. ( nimtazamo wake so don’t quote me wrong)
2: wanawake wengi “si” wote wana nature moja (“wanda penda kunyenyekewa na huwa n wastaarabu sana pind hawakujui vizur lkn pale mnapokuwa mmesha vulishana nguo na amekujua in and out na udhaifu wako kasha utambua heshima hushuka kabsa na atatumia io gap kukutesa( so mwanaume usipende mwanamke ajue udhaifuwako kama Zama aLivo jua udhaifu wajamaa nakutumia upenyo huo kumtesa jamaa) . Na “nimtazamo wake so don’t quote me wrong)”
3:Ni marachache sana kupata Mwanamke mnaeendana akili so kuwamakini sana katika kutafta mke (“kosea yote usikosee kuoa”).
kUna hitkad nyingi sana alizonazo mze wangu siwekuzimaliza zote lkn hakuwahi kumlilia mtu. Zimenijenga had leo hi hata nikitongoza mtu akaniletea maringo na pighachin na vuta kitu kingme na haina haja ya kubembelezana katika dunia hii.
Note: from my fanther “ Bembeleza pesa sio mapenzi”
siwez ongelea sana au ni m blame jamaa(Ruge)kwa nm kamlilia mwanamke kwasanab sijaingi kwenye ndo ma sijui siri iliyopo kwenye ndoa but na sio kama sijawah kupenda nilisha wahi kupenda saana na nika tendwa lkn sikumbembeleza mtu wala kulia walakuumia wala nn nili pigachin nika vuta kitu mpya tena rafikiake wa karibu [emoji23]♂️♂️♂️ na baadae nae nikaipiga chin (“maisha ni mwendo wa kupigana chini tu hakuna kuliliana” ) na badaee ka dem kakarud kenyewe nikaripiza kisas cha kukatenda. ili kahisi nilocho kihis mm kipind kile kana niletea nyodo mpaka leo yule dem haamin kama mm ndo nilokua nampenda kiac kile.
Kichwan niliaha jiwekea itikad hii
“kama mama yangu alie nileta duniani aliniacha na cikuumia bas hakuna mwanadam atakuja niacha nika umia kamwee coz hakuna mtu niliependa kuish nae kama mama angu”
but ni mzazi na na mpendasan mama angu japokua aliniacha mdogo siwez jua may b walishindwana tabia na mmewake so tahts non of my bussness.
pia zamaradi atambue anacho kifanya kina madhara makubwa sanaa kwa watoto wake na hatayaona hayo madhara leo nafaham sababu nimepitia malez ya mzaz mmoja.
tamaaza mwilo zitaharib future ya watoto kabsaa kama ruge asipo kuja kuwachukua watoto na kuwalea pekake [emoji818]️
nitenda[emoji23].ngoja nishie hapo.
Yeah kuna nyakati una lazimika kuwa yeyote positive yule katika maisha. Ila hili la kulia ni ukenge wa viwango vya urais (juu sana)