Hakika aliyeiroga Yanga ana la kujibu kwa Mungu

Kwanza wamekutana na timu mbovu ajabu
 
Mipira ya kuchezeshwa dk 70 na wachezaji Wana anguka kama Wana degedege. Soka la Afini ngumu kupiga hatua.
Kmmk zao yani walinikera mno wakt mchezo mzima nilimpelek puta Kaz kuanguka anguka kmmmk zao na hawatafika mbali
 
UKIACHANA NA WALE MATAPELI WA TUMA HELA KWENYE NAMBA HII MATAPELI WENGINE NI YANGA[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
Acha hzo Simba kwani leo mlicheza Moira gani
 
Yanga siwadai wamepambana sometimes mpira bahati na bahati haikuwa kwao.

Kama yanga wataingia makundi shirikisho waende kutafuta beki 4 na 5 waache ujinga mwamunyeto sio beki wa kucheza Yanga!!!
Sasa mkuu kwa Sasa beki watampata ambae hajaitumikia timu yake????
 
Madhara ya kutegemea wachezaji wa mafungu.. usitegemee kushindana kimataifa akati unategemea wachezaji wa kuokota bure
 
Yanga siwadai wamepambana sometimes mpira bahati na bahati haikuwa kwao.

Kama yanga wataingia makundi shirikisho waende kutafuta beki 4 na 5 waache ujinga mwamunyeto sio beki wa kucheza Yanga!!!
Yanga wamepambana kama Azam?
 
Mzee usifikiri Al hilal ni wajinga kuwaacha Yanga mfunguke vile... Walifanya vile kwa makusudi...Waliwaheshimu ili mfunguke...
Nakubali mdau

Zile dakika kumi za mwisho jamaa walishambulia balaa mpaka kupata bao la offside pale ndio nikagundua jamaa walikua wanacheza kwa malengo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…