sehemu. Gan apa khm townPamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
CCM ni chama kikubwa tofauti na hapo Ufipa mko 20,000Tatizo lako huwajui hata makada wenzako, huyo John NDEGE ni kada mtiifu sana wa ccm, lkn maisha yamemshinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni kiongozi hapo lumumba, tatizo lako hata hapo lumumba hujawahi kutia mguu unaishia hapo radio uhuru tuCCM ni chama kikubwa tofauti na hapo Ufipa mko 20,000
Magufuli ameturudisha nyuma sana kwa kuvunja SheriaNdo binadamu tulivyo, unaweza ukafanya mema 100 ukakosea mambo 2 ukaonekana hufai hata kidogo.
Ki ukweli Dr. Kafanya mambo mengi mazuri ambayo wengi hatukutarajia yatokee katika nchi yetu, lkn kwa sababu hajatoa ajira nyingi na nyongeza ya mishahara basi ndo hafai.
Bila kusahau kaweka mfumo mzuri wa fanya KAZI pata PESA, huu mfumo unawatesa watu wengi waliozoea kula bata, zugazug andikia andiko la uongo na ukweli pata pesa!!
Tuvumilie tuendako kuzuri zaidi tujifinge mkanda baba anajenga nyumba ili tuhame kwenye nyumba ya kupanga uswahilini.
Teh! Teh!
Viva Dr. Viva Dr.!!!
I Will vote him oct 28.!
Ila imefanyika vzr kwa manufaa ya wote.!Magufuli ameturudisha nyuma sana kwa kuvunja Sheria
Miradi mingi haijafuata utaratibu
Kuota mchana ni ruksa...tena leo IjumaaUpinzani ulishajifia tangu 2015 kilichobaki ni futuhi, CCM kwasasa wajiandae kumpata mgombea wa 2025 huu uchaguzi umesha kwisha kabla ya October.
Lisu akipita anaharibu namuona mgombea mweza wa urais kupitia chama Cha ccm yupo mkoa wa kusini yaani watu bado hamuelewi mama yetu samia suluhu Hadi Sasa maana.wapowapo tu.Pamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Hell JPMillusion..... usiyempenda unamuona ana mapembe.... hata kama hana..
kila kitu unaona kinyume...
Magu 2020 to +infinity
Heil JPM
Hahahaaaa..... Muda mwingi nakuwa Ufipa bwashee, CCM ni chama kikubwa!Huyo ni kiongozi hapo lumumba, tatizo lako hata hapo lumumba hujawahi kutia mguu unaishia hapo radio uhuru tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utayaamini hayo siku matokeo yakitangazwa. Yaani wewe una akili za kipoyoyo, unazubaishwa na watu wanaokuja mikutanoni. Kuna watu wanakuja kumshangaa na kujionea namna alivyo kituko.Kuna vijana wa UVCCM hapa Lumumba wakati fulani huko nyuma walijiapiza mbele ya Magufuli "Kwa makubwa uliyowafanyia Watanzania, kwenye uchaguzi wa 2020 wala huhitaji kupanda jukwaani wala kuzunguka nchi nzima kukampeni..... hiyo kazi tuachie sisi baba!"
Sasa hivi nawaona hapa kiungani Lumumba kila mtu anapambana na hali yake..... maana sumu anazomwaga Lissu kwa wapiga kura zimewaacha kama wahanga wa shoti ya umeme!
Watakwambia ulikuwa unapiga diliMe mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Mzee Tupatupa wa Lumumba hali ikoje hapo Shinyanga? Mtatoboza na huyo mdomo kunua wenu a.k.a 12 wenu?Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Miaka mitano akipiga kampeni huku akitumia pesa zetu kutekeleza matakwa yake badala ya matakwa ya watanzaniaPamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
hahahaaaa hahahaaaa!Utayaamini hayo siku matokeo yakitangazwa. Yaani wewe una akili za kipoyoyo, unazubaishwa na watu wanaokuja mikutanoni. Kuna watu wanakuja kumshangaa na kujionea namna alivyo kituko.
Just stay tuned. Vumbi la okt 28. JPM atakavyo gonga A+ ya over 90 huku kituko chako kikiambulia F( a single digit)
Toooo late akampuzike tu kwa kweli hakuna namnaPamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Akiwepo lisu hata usiponunua nguo mpya moyo unakuwa na amani macho yanakuwa na furaha mengineyo yanatiririka kama maji kutoka milimani na malaika wa Mungu anakuwa katikati yetuKwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Na bado ataona nyota zote huyu mkabila.Pamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Yani wewe unamatatizo kweli wewe umejuaje kama ajitumi, Mpaka Jamaa anawaza kutita barabarani huku akitafuta , uwe unaelewa , hii miaka mitano imekuwa michungu sana.Achana na Mimi wewe nijitume mpaka ninye ndio uamini nimejituma, mazingira ya biashara ni magumu kaka