Uchaguzi 2020 Hakika Dkt. Magufuli haamini macho yake. Alifikiri A, imekuwa B!

Uchaguzi 2020 Hakika Dkt. Magufuli haamini macho yake. Alifikiri A, imekuwa B!

Pamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.

Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.

Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.

Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Kwani mlipomchagua Magufuli aliwaahidi atawaRetea tetemeko?
Nauliza tena
Mlipomchagua Magufuli aliwaahidi atawaRetea tetemeko ?

Tetemeko alikuRetwa na Serikali ya Dr Magufuli, kwa Serikari iumie halafu nyinyi wananchi msiumie.

Pipo yuzidi tu dai in ze in ze Reki
 
Mimi binafsi ccm aise siipendi tangu nipo mdogo kweli nimeamini mtu wa haki huzaliwa, na kujali watu kunatoka moyoni.
 
Huo ni mtazamo wako bwashee.... Lakini kule field Dr Magufuli na CCM wanakubalika sana.

Naibariki siku ya uchaguzi 28/10/2020
Eti
IMG_20200910_154938.jpeg
IMG_20200907_220100.jpeg
IMG_20200911_080452.jpeg
 
Amefeli wapi kwani?
Amefeli kwa kuwafanya watanzania maskini wa kutupa halafu yeye anaona sifa kuwafanya watanzania maskini ona mpuuzi wako mwingine huyu anafurahia maisha ya watanzania kuwa maskini namna
IMG_20200911_080452.jpeg
 
Pamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.

Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.

Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.

Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Wajumbe wameapa kwa kauli moja hawataki dharau. Yaani wao wameteua mtu wao na wao ndio wananchi wewe unakuja na ubabe wako?? Wajumbe watamuonesha kama walivyofanya kwenye uchaguzi wao wawagombea. Kilichotikea Kigamboni na mahala pengine kitamshangaza.
 
Ndo binadamu tulivyo, unaweza ukafanya mema 100 ukakosea mambo 2 ukaonekana hufai hata kidogo.

Ki ukweli Dr. Kafanya mambo mengi mazuri ambayo wengi hatukutarajia yatokee katika nchi yetu, lkn kwa sababu hajatoa ajira nyingi na nyongeza ya mishahara basi ndo hafai.

Bila kusahau kaweka mfumo mzuri wa fanya KAZI pata PESA, huu mfumo unawatesa watu wengi waliozoea kula bata, zugazug andikia andiko la uongo na ukweli pata pesa!!

Tuvumilie tuendako kuzuri zaidi tujifinge mkanda baba anajenga nyumba ili tuhame kwenye nyumba ya kupanga uswahilini.
Teh! Teh!
Viva Dr. Viva Dr.!!!

I Will vote him oct 28.!
Mavyfuli mema 40% maovu 60%, hatufai huyu.
 
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Wewe bado huna elimu juu ya influence ya government policies and Laws on economics;Siku ukiwa na ufahamu wa hayo ndipo utaweza kuelewa kwa nn watu wanailalamikia serikali juu ya maisha magumu.Kiufupi ni kwamba hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayetegemea serikali impe pesa bali hutegemea serikali itunge sera bora na sheria wezeshi ambazo zitamtengenezea mazingira mazuri ya kupata hela kupitia vyanzo mbalimbali.Kwenye hili serikali ya CCM ya miaka 59 imeshindwa pabaya.
 
Ujinga mtupu wa kuipa moyo.Mbona hiyo nguvu ya upinzani haionekani hadi leo ? Zaidi ni malalamiko na matusi tu .
Acha unafiki Magufuli ambae ni rais na majariwa waziri mkuu anaiona na kuiogopa wewe kapuku wa Tandale ndio huioni??
 
Wewe bado huna elimu juu ya influence ya government policies and Laws on economics;Siku ukiwa na ufahamu wa hayo ndipo utaweza kuelewa kwa nn watu wanailalamikia serikali juu ya maisha magumu.Kiufupi ni kwamba hakuna mwananchi mwenye akili timamu anayetegemea serikali impe pesa bali hutegemea serikali itunge sera bora na sheria wezeshi ambazo zitamtengenezea mazingira mazuri ya kupata hela kupitia vyanzo mbalimbali.Kwenye hili serikali ya CCM ya miaka 59 imeshindwa pabaya.
Huyo Lofa In Mkapa's voice hawezi kukuelewa ametawaliwa na roho ya wivu na chuki
 
Ni kweli Magufuli kafeli kwa mengi hasa kwa ubabe wake wa kulazimisha mambo yasio haki na ukabila uliopitiliza ila hakuna ubishi atashinda urais hata ikibidi tume ya uchaguzi kumpitisha kwa kura ya veto!
 
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Mpumba.u wewe. Nionyeshe Mtanzania aliyenunua gari jipya kipindi hiki cha miaka mitano,nami nakupa milioni 10 taslimu.
 
Umeandika kwa uchungu mkubwa.
Huyo takataka hajui chochote.
Kuna watu wanafikiri ni utani kuna dada alikuwa anafanya biashara za saluni na kukodisha na kuuza weaving originals alikuwa na ofisi kibao, kafunga zote watu wanavaa mawigi kama yale anayoigizia joti. Biashara halali zimekufa, walipa kodi wamepungua, watu wenye maisha magumu wameongezeka halafu leo tunaambiwa ndege, ndege mie mwenyewe nina kibarua sijawahi kuwaza kupanda ndege.
 
Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Na wewe kweli magufuri ana hali ngumu
 
Back
Top Bottom