Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Labda atumie tume CCM, police CCM, tiss CCM , magereza CCM, fire CCM tpdf CCM ndio atakuwa Rais tena. Unless ajiandae kurudi Chato mwezi November 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefeli kwenye Uhuru na Haki .......!!Amefeli wapi kwani?
Kwa mfano hapa Vunjo!Field ya wapi Mkuu.
Hali ni tofauti.Huo ni mtazamo wako bwashee.... Lakini kule field Dr Magufuli na CCM wanakubalika sana.
Naibariki siku ya uchaguzi 28/10/2020
Kwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Miradi yote mikubwa anayofanya magu hela anapeleka kwa mabeberu na mzunguko wa pesa ndani ya inchi unakuwa mdogo. Ndege tatu tu ni sawa na angejenga hospitali kumi ktk mikoa tofauti ambayo ingeajiri watu wengi na hela ingezunguka na kodi ingekusanywa zaidiKwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Hata mm sihamini macho yangu aiseeID imeibiwa.
Atanipa nafuu ya maisha kwa kuimarisha uchumi(kwa kuimariaha sekta binafsi, kuongeza mshahara) ili na sisi wauza karanga na ubuyu na mitumba tuuze sanaKwaiyo Lissu ndio atakununulia Nguo?
Jitume tafuta pesa kwa Akili na jasho lako, Watu wananunua ndinga mpya kila siku wewe unafikiria Lissu atakupa nafuu ya Maisha.
Matikiti maji yanauzwa 2000 kwa moja nenda kalime kama hutopata hela,wewe unabeti alafu utegemee kupata hela.Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Mzee Tupatupa . Huyu kama si kubebwa na kitengo. Mbona chali muda mrefu tuPamoja na kuubana vilivyo upinzani kwa miaka yake mitano madarakani, haamini kuuona ukiwa na nguvu kwa namna hii hadi kuomba msaada wa wastaafu. Pamoja na kuuaminisha umma, tangu kuingia kwake madarani, kuwa anapendwa, anakubalika, anaheshimika na anaaminika kuliko yeyote yule kwenye uongozi, Dr. Magufuli haamini kuona wananchi 'wakitamani' kumuondoa madarakani kwa kura zao Oktoba 28.
Pamoja na 'mikwara' yake kwa makada wa CCM walioachwa pembeni wakati wa kura za maoni kuwa ni LAZIMA wawaunge mkono wagombea waliopitishwa na CCM yetu, Dr. Magufuli haamini macho yake anaposhuhudia sura za kukasirika na ghadhabu za makada hao. Makada wa maelfu nchi nzima wamejipanga kuwapigia kura wapinzani kwakuwa walioletewa hawakuwachagua.
Pamoja na kutumia jukwaa la Urais kwa miaka mitano kujinadi, kujiaminisha na kujitamba mbele ya watanzania, Dr. Magufuli hayaamini macho yake anapoona watanzania hawamulewi kwenye kampeni zake na hata hawasisimuliwi na ahadi zake tena. Wamejaa uchungu mioyoni mwao; wamepoteza matumaini kuliko kuyapata. Watanzania wanataka kuanza upya. Wanataka mabadiliko. Wanashindwa kumuelewa Dr. Magufuli.
Hakika, Dr. Magufuli haamini anachokiona. Ametarajia A, anaona B. Wako wapi wale waliokuwa wakimshabikia miaka yote mitano? Wako wapi waunga mkono juhudi? Ni wazi, tafakari atakayoifanya Chato kuanzia jana hadi tarehe 14/9/2020 itajikita katika kujiuliza: amewakosea nini watanzania hadi wampe 'surprise'hii ya kiuchaguzi? Atakapoanza na Kagera, ajirekebishe na ikibidi aombe radhi kwa kuteleza kwake kwa hili na lile.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kahama, Shinyanga)
Itakuwa wajumbe wamefanya yao unafikiri waliopata kura 0 wako mbali? ndio hawa kila siku wanatutia jasho na lichama lao chakavu.Hata mm sihamini macho yangu aisee
Nimeona mgombea wenu bagamoyo anaongea alafu watu wanamcheki tu kisha wanasema hiiii, akiondoka wanafuta miguu vumbi🤣🤣🤣🤣Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
Nyie 8000 tu wakati wachimbaji wadogo wako 100000 mtaweza kweli.Wasalimie hapo kijiwe Cha phantom,mwambie sisi wafanyakazi tuliopunguzwa pale Buzwagi Gold Mine sababu ya makinikia yake tuna machungu nae kwelikweli.
Hatusahau!
Umeandika 'pumba' Sana mkuu.Nyie 8000 tu wakati wachimbaji wadogo wako 100000 mtaweza kweli.
wewe umeandika matapishi.Umeandika 'pumba' Sana mkuu.
Hizi ni harakati za Ccm kuua upinzani.Kwasababu wao kupitia viongozi wao ndio tumewaona wakitapatapa kuaminisha watu kua upinzani umekufa na wote wameunga juhudi kumbe hola.