Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

Ukweli ndio huo ukiwa na pesa ya kumfanyia kila Jambo bado haitoshi ukiwa huna ndio shida ukijifanya unataka kushindana na ulipotoka kumrizisha bado hutaweza mapenzi tuyaache Kama yalivyo na ukishindana nayo mwisho ni kifo
 
Back
Top Bottom