Tatzo unajiona unajua Kila kitu kwenye Afya.. Kwan Kila anayekufa huwa anathibitiwa na Docta kuwa amekufa. Mara ngapi watu hupiga chafya wako mochwari. Dactari huwa hathibitishi.Anayetakiwa kuthibitisha kifo cha mtu ni daktari, waswahili huwa mnazika hai waliozimia kwa ujuwaji.
Mtu anapofariki kuna process ya tangazo la kifo na kibali cha mazishi ili baadaye uprocess death certificate, halafu utashangaa na wewe naye unajiita msomi huku unafanya mambo kienyeji.
Hv wewe upikapo chakula huwa unamtafuta CHEF ili akuthibitishia kama kimeiva?Anayetakiwa kuthibitisha kifo cha mtu ni daktari, waswahili huwa mnazika hai waliozimia kwa ujuwaji.
Mtu anapofariki kuna process ya tangazo la kifo na kibali cha mazishi ili baadaye uprocess death certificate, halafu utashangaa na wewe naye unajiita msomi huku unafanya mambo kienyeji.
Asante Mkuu.Pole kumpoteza mpendwa wako.
Huduma nyingi Nchi hii inatolewa kwa kutoa rushwa. Hasa hospitali za Serikali, Trafiki, Mahakamani n.k
Kuna siku nilitaka niwafukuzishe kazi maaskari fulani wa barabarani kwa kuendekeza rushwa, bahati roho ya huruma iliniingia. Maana nilikuwa na hela za Moto siku ile zaidi ya laki 1.5.
Nimepanga wakiendelea, nitawashikisha hela za moto hasa Maaskari kipande cha Mikumi hadi Makambako.
Unajua kuna watu hawana aibu kama maiti. Yaani huyo Mama alijitoa ufahamu na kujilipua kwa kuomba rushwa bila hofu yoyote, Duu hatari kweli kweli. Ila afadhali ulitoa SHIT na ukafanikiwa.Nlikuwa nmemaliza form 6 .....huko kanda ya ziwa....tunafatilia birth certificate kwa ajil ya kuapply mkopo....aseee wale wamama kwa mkuu wa wilaya hawana mda na mtu watu nyomi balaaa...nlifatilia for consecutive 3dys bilabila...mwsho nkakasirika nkatoa shiit nying pale pale kwa DC...nkashangaa mama mmoja anasema huyo anayetoa kashfa aje kwa kujiamn nkaenda nikashangaa...ananiambia una sh ngap ..
Huwez amin nilitoa 20k wakaprint chet mda huo huo...nkasepa zangu capri point kulaa PRIMUS..
Ujuaji mwingiiii kumbe jamaa hajui lolote. Mpotezee Mkuu !Tatzo unajiona unajua Kila kitu kwenye Afya.. Kwan Kila anayekufa huwa anathibitiwa na Docta kuwa amekufa. Mara ngapi watu hupiga chafya wako mochwari. Dactari huwa hathibitishi.
Mkuu tulipanga kuondoka asubuhi hivyo tuliona ni bora iwe hivyo.Wewe na mkeo mna mioyo migumuuu .... njiani mkaamua kurejesha mwili nyumbani na kulala nao ... kisha kufanya maamuzi ya kusafiri kesho yake (hongereni manake mliweza kuwa na fedha za akiba na watu wa karibu walowasaidia).
Poleni
Chai ya pili pili nayo ni tamuu
Mkuu nidanganye ili inisaidie nini? na iwe kwa faida ya nani?Hii ni chai. Mtu hawezi kumrudisha akiwa njiani mgonjwa anayempeleka hospital eti amefariki. Big no. Kwanza kile kiwewe unachokuwa nacho hutaamini kama amefariki na utataka tu kumfikisha hospital.
Jamaa hawana huruma wala aibu yaani inasikitisha sana.Nilipomaliza kidato cha sita, nilienda kwa binamu yangu mkoa wa Mara . Nikapata maambukizi ya staphylococcus. Nilijua ni bacterial infection kwakuwa baada ya kutibu mara kadhaa bila mafanikio, ilibidi kufanya kipimo cha culture.
Aisee ugonjwa ulinitesa , maana Kila nikimaliza dozi siponi. Yaani mayibabu yenyewe yalikuwa ya kusuasua kwakuwa nilikuwa nategemea fedha ya matibabu kutoka kwa binamu.
Baada ya kusubiri kwa muda huku nikiendelea kuugua, hatimaye Bina akanipa tsh2000/- nikatibwe. Kwa miaka Ile ilikuwa hela nyingi. Nimefika hospitali ya mkoa, nikajiandikisha , hatimaye nikaingia kwa daktari. Nikamweleza jinsi nimekuwa na maumivu kwenye njia ya mkojo kwa muda mrefu, na dawa nilizokwishakutumia. Ajabu, akaniambia ili aniandikie dawa, nitampa 2000/-.Nikawa nimemwelewa kuwa anataka rushwa. Nikakubali lakini nikapania moyoni kuwa nitamkomesha. Akaniandikia Vipimo, nikaenda maabara, baada ya mchakato kuisha nikarudi chumbani kwa daktari.
Akaniandikia dawa pale na kunielekeza kuwa niende nikazinunue. Nikambadilikia , nikamwambia wee jamaa nimeshakulipa Kila kitu hapa siondoki bila dawa. Akashangaa maana niliongea kwa sauti ili hata walio nje wasikie . Akaona hili ni Soo . Akachomoa Ile buku mbili akanipa, nikachukua cheti nikatoka nje. Nikapitia dirisha la dawa nikanunua nirudi home. Bahati nzuri nilipona.
Kusema uongo kwenye vijiwe kama hivi siyo lazima upate faida yoyote. Inaitwa furahisha baraza. Kwenye kila kijiwe kuna watu kama wewe.Mkuu nidanganye ili inisaidie nini? na iwe kwa faida ya nani?
Kwanini msingemfikisha hospital pengine alikua kazidiwa tu? Au mlikua na vipimo kwenye gari?na wakati tukimkimbiza hospitali ile ile alokuwa kalazwa kwa zaidi ya wiki 2 alifariki tukiwa njiani.
Ilibidi turudi nyumbani na mwili ili tujue nini tunafanya, niliwajulisha jamaa na marafiki usiku huo huo na baadhi walifika home na walilala na sisi pale nyumbani.
Kuna anayekubali kuwa analeta au ataleta habari ya uongo? Ni habari yenyewe ndiyo ina attract suspicious! Kwa mfano yako... unasema kuwa shemeji yako alishaponda na alikuwa mzima kabisa halafu akaumwa ghafla. Mkiwa mnampeleka hospital akafariki na mkaamua kurudisha mwili nyumbani na usiku ule ule mkapanga kusafirisha kesho msiba yake. Daa utadhani mlikuwa mmejiandaa kwa msiba au ninyi ndiyo mlimuua...Sijawahi na wala sitarajii kamwe kuleta habari ya uongo hapa JF. Never ever !
Ni kweli mkuuAsante Mkuu.
Rushwa ni adui wa haki na ndo maana juzi hapa Mama Mjamzito kafariki kwa kukosa 150,000 huko Handeni.
Kwakujiamini kabisa unadai eti mtu hauwezi kumrudisha mtu alievuta mbona mimi nimeshuhudia sana mambo kama hayo huku kwetuHii ni chai. Mtu hawezi kumrudisha akiwa njiani mgonjwa anayempeleka hospital eti amefariki. Big no. Kwanza kile kiwewe unachokuwa nacho hutaamini kama amefariki na utataka tu kumfikisha hospital.
kwanini wakristo mnaogopa sana maiti?Wewe na mkeo mna mioyo migumuuu .... njiani mkaamua kurejesha mwili nyumbani na kulala nao ... kisha kufanya maamuzi ya kusafiri kesho yake (hongereni manake mliweza kuwa na fedha za akiba na watu wa karibu walowasaidia).
Poleni
Chai ya pili pili nayo ni tamuu
Vijijini huko swekeni?Kwakujiamini kabisa unadai eti mtu hauwezi kumrudisha mtu alievuta mbona mimi nimeshuhudia sana mambo kama hayo huku kwetu
Unaona ulivyo mpuuzi wewe umekanusha kuwa hakuna kitu kama hicho halafu saivi unasema eti kijijini swekeniVijijini huko swekeni?