mti wa bib
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 138
- 120
Kwa kwel nkana lazima watoke tu hakuna jinsi japo nimeona wanajipa moyo kuwa hatakuja kutufanya kaz dar esalam.Nkana Leo wamepoteza nafas nyingi za kutufunga na leo timu ya simba wamecheza Mpira kwa kutetemeka sana lkn cha kushangaza nkana wanapata mabao mawili
.nkana siwafichi nawambia ukwel tyr mmetoka na Siku ya marudiano tutaruhusu kwanza mvua ndipo tuwauwe kifo cha mende...
.nkana siwafichi nawambia ukwel tyr mmetoka na Siku ya marudiano tutaruhusu kwanza mvua ndipo tuwauwe kifo cha mende...