Mpende Mke/ Mpenzi wako kwa kiasi tu...ukimpenda kupita kiasi utakuja juta siku 1.Ndo maana uliambiwa ishi nayo kwa hekima,.. Sasa ngoja uingie kweny ndoa majibu yote utayapata,
Wivu sunnaHabarini Wadau,
Hata kama kwenye mapenzi pana wivu:
Huwa ninashangaa sana pale ambapo ninaona wanaume wenzangu wakilia lia na kupata stress au hata Blood Pressure kwasababu ya kuhisi au kuthibitisha kusalitiwa na Mke, Mchumba au Mpenzi.
Yakupasa ujiulize yafuatayo kabla ya kuanza kulialia na kwenda kumshitaki Mkeo popote pale:
1) Je huyo Mpenzi, Mchumba au Mke ulimkuta na Bikira?
2) Wewe Binafsi huna Mchepuko unaomgonga mbali na Mkeo?
Mwanamke unapokuwa na uhusiano au ndoa naye...we mwambie tu maneno machache kuwa...
"Kutoka nje ya Ndoa sio vizuri kwakuwa kuna magonjwa ya zinaa na utashindwa kuitunza familia, pia Uaminifu ni jambo zuri, na akitoka nje atumie Condom..BAAAS.
Suala la kujifanya kumchunga mwanamke, kumfuatilia au kuchunguza simu yake NI USHAMBA NA UJINGA HAKIKA.
SWALI: Unamfuatiliaje mtu mzima mwenye akili zake? unafikiri hataweza kukucheat kwa vyovyote kweli?
Wanaume wa hivyo wanaojidai eti wana wivu...hiyo ni evash vash au emaleesii, yaani Madeko.
Mwanamke alie kwa kusalitiwa na wewe Dume mzima ulie? Shieee !!!
KUWA MWANAUME AISEE......Acha kumchunga mwanamke...muda huo wa kumchunga tumia kwa kutafuta fweza.
Wabillah Tawfiq,
Mpende Mke/ Mpenzi wako kwa kiasi tu...ukimpenda kupita kiasi utakuja juta siku 1.
Hata wao wapo sensitive kutotupenda sisi wanaume kupita kiasi.
Mungu ndio wa kupendwa kupita kiasi.
Hujawahi kupenda. Ukute huyo mke ulonaye alikutongoza wewe.
Ni kweli huwezi kuujua wema kama si mwemaSi katai ila nikukumbushe kitu, kila mtu anajiumbia ulimwengu wake kutokana na mtazamo wake,me bado na amini waaminifu wapo kwasababu naanzia kwenye maisha yangu kama mimi naweza kuwa mwaminifu kwanini wengine wasiwe waaminifu,sasa kwa kuwa wewe uwa unamsaliti mpenzi wako una amini wanawake wote wanafanya hivyo si sawa hata kidogo,uwezi kujua wema kama si mwema na uwezi kujua ubaya kama si mbaya una amini watu si waaminifu kwa sababu wewe si mwaminifu siku ukiwa mwaminifu utawaona waaminifu na wapo wengi sana,ila kwa kuwa uko ulimwengu wa uchafu utaona uchafu tu.
Hupaswi kuumia roho kwajili ya Mwanamke aliyeamua kufanya yake akiwa Timamu.
Umia roho kwasababu ya Umasikini na ukosefu wa pesa.
[emoji119] [emoji119]Ukitaka kujua kama bikra ni muhimu kiasi hicho hebu jaribu kumuuliza mzazi wako nani alimtoa bikra.
Duuh...mimi siwezi kumuuliza mzazi wangu kitu kama hichoUkitaka kujua kama bikra ni muhimu kiasi hicho hebu jaribu kumuuliza mzazi wako nani alimtoa bikra.
Huyo jamaa hajui kama wewe ni mwanamke, msamehe bureWewe una uhakika kuwa nina mke?