Hakika: Mwanaume kuwa na wivu kwa mke/msichana wake ni udhaifu na ujinga

Hakika: Mwanaume kuwa na wivu kwa mke/msichana wake ni udhaifu na ujinga

Asikwambie mtu wivu unausika mno kwenye mapenzi ya kweli,ila chuki nayo hudhirika ukiwa na mapenz ya kitapeli! Omba tu Mungu usipate wa kukukolea haki vile utafuta haya maneno.
 
mkuu umeoa, una mchumba au dem mshika kamba...??
 
Wivu kwa unayempenda nilazima kama huna utakuwa hukukamilika kwani wengi wanamatatizo wengine hawasikii harufu yeyote wengine test hawana na wapo ambao hamna wivu niwagonjwa mkatibiwe sio mjisifie
 
Habarini Wadau,

Hata kama kwenye mapenzi pana wivu:

Huwa ninashangaa sana pale ambapo ninaona wanaume wenzangu wakilia lia na kupata stress au hata Blood Pressure kwasababu ya kuhisi au kuthibitisha kusalitiwa na Mke, Mchumba au Mpenzi.

Yakupasa ujiulize yafuatayo kabla ya kuanza kulialia na kwenda kumshitaki Mkeo popote pale:

1) Je huyo Mpenzi, Mchumba au Mke ulimkuta na Bikira?

2) Wewe Binafsi huna Mchepuko unaomgonga mbali na Mkeo?


Mwanamke unapokuwa na uhusiano au ndoa naye...we mwambie tu maneno machache kuwa...

"Kutoka nje ya Ndoa sio vizuri kwakuwa kuna magonjwa ya zinaa na utashindwa kuitunza familia, pia Uaminifu ni jambo zuri, na akitoka nje atumie Condom..BAAAS.

Suala la kujifanya kumchunga mwanamke, kumfuatilia au kuchunguza simu yake NI USHAMBA NA UJINGA HAKIKA.

SWALI: Unamfuatiliaje mtu mzima mwenye akili zake? unafikiri hataweza kukucheat kwa vyovyote kweli?

Wanaume wa hivyo wanaojidai eti wana wivu...hiyo ni evash vash au emaleesii, yaani Madeko.

Mwanamke alie kwa kusalitiwa na wewe Dume mzima ulie? Shieee !!!

KUWA MWANAUME AISEE......Acha kumchunga mwanamke...muda huo wa kumchunga tumia kwa kutafuta fweza.



Wabillah Tawfiq,

Una miaka mingapi? na umekuwa na mahusiano kwa mda gani?
 
Wivu kwa unayempenda nilazima kama huna utakuwa hukukamilika kwani wengi wanamatatizo wengine hawasikii harufu yeyote wengine test hawana na wapo ambao hamna wivu niwagonjwa mkatibiwe sio mjisifie
Kwahiyo unajisifia kuwa na wivu?
 
mdau utakuwa huna mke hivyo nawe ni moja ya wavulana maana wavulana ndio wana vimaneno vya kujipa moyo hivyo..wivu lazima..katika love..!! japo hautakiwi kuvuka mipaka cha msingi uaminifu tu ndio nguzo...ila wuvu muhimu...usijidanganye labda km humpendi
 
Hakuna mapenzi bila wivu...bali usiwe wivu wa kuleta madhara.

The Great Gatsby
 
mdau utakuwa huna mke hivyo nawe ni moja ya wavulana maana wavulana ndio wana vimaneno vya kujipa moyo hivyo..wivu lazima..katika love..!! japo hautakiwi kuvuka mipaka cha msingi uaminifu tu ndio nguzo...ila wuvu muhimu...usijidanganye labda km humpendi
Wivu wa kikuda haufai kwa Mwanaume,
 
Back
Top Bottom