Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Lakini bora kazini hutochoreka maana hakuna anaekujua kazini kwao kuliko mwanamke golikipa unakuta muuza genge anakutwangia mkeo alafu asubuhi unasalimiana nae "Za Asubuhi" 😁
Kunyanduana ni Jambo la asili
 
Acha ujinga tumia akili zako. wewe unalindwa na Mungu wa Israel, Israel inalindwa na mifumo ya kijeshi ya technolojia ya hari ya juu.

Acha kudumaza akili zenu.
 
Acha ujinga tumia akili zako. wewe unalindwa na Mungu wa Israel, Israel inalindwa na mifumo ya kijeshi ya technolojia ya hari ya juu.

Acha kudumaza akili zenu.
Bible ipo kimwili(Andiko) ili uielewe Mambo ya roho lazima uijue vizur na mifano. Israel sio kule Bali Ni Mtu yeyote aliempokea Yesu amefanyika taifa takatifu la Mungu. Hapa Tanzania na kila nchi kunae sodoma na gomora. Ilikuwa lazima iwepo ili ujue. Watu wanafirana hata hapo kwenye ukoo wako yamkini wapo Ni Siri utatambua kwa Neno la Mungu na si Andiko ili uombe laana isiwafate wazaz wako. Sasa nalindwa na Yesu na Yesu ndie Mungu,na yy Ni wa wote. Hivyo mjinga Ni wewe unaedhani kila kitu unakijua
 
Hicho kitabu kina story kama za shigongo.

Uo ushenzi wa kuingilia wanaume ni tamaduni zao hao washenzi mnaowaabudu.

Sisi weusi hatunaga huo ujinga ,wao ndio wameuleta na nyie mnaiga.
 
Asante Mtumishi
 
Mwanaume kama unaweza mke wako asiajiriwe, fanya kweli.

Hali sio poa huku, mnapigiwa sana.
 
Lakini bora kazini hutochoreka maana hakuna anaekujua kazini kwao kuliko mwanamke golikipa unakuta muuza genge anakutwangia mkeo alafu asubuhi unasalimiana nae "Za Asubuhi" 😁
Mtoa post kasema sahihi, na inauma sana ukizingatia kuwa we kidume ulifanyishwa upuuzi wa kutoa mahari, ukaalika na raia shazi kuwaweka wazi kuwa umepata mwenza, watu wakaserebuka, shangwe juu ya shangwe!


Akawa mjamzito, ukajawa na huruma na upendo mkuu kisha ukamkimbiza hospitali kujifungua ukiamini sasa mnaenda kuujaza ulimwengu... unajihangaisha hivyo kumbe yote hayo ni buureee tu! Anajitokeza kidume mwenzio ofisini, anamtungia sentensi mbili tu....


"Hivi mmeo anatambua vizuri thamani yako?! ...I wish this beauty was never away from my eye sight... blah blah blah"

Kupewa maneno mazuri kidogo tu wakati ambao usiku wake kulikuwa na kijimgogoro kidogo kwenye ndoa... hisia zote zinaamia kwa mume wa ofisini...

Anyway... ni vizuri kujifariji tu kuwa hahta magolikipa wananyanduliwa na wauza genge japo haiondoi ukweli kuwa mkeo kugongewa ofisini inauma!
 
na wanapelekwa kwa mpalange haswa, lakini nyumbani ukitest hiyo ishu anakua mkali zaidi ya mbogo, na kwa wazee itafika.
 
Uzi upo wapi?
 
Lakini bora kazini hutochoreka maana hakuna anaekujua kazini kwao kuliko mwanamke golikipa unakuta muuza genge anakutwangia mkeo alafu asubuhi unasalimiana nae "Za Asubuhi" 😁
imetosha kujua mkeo ni mfanyakazi broo
 
Nyie MAFISI endelee tu! Siku mkufumuliwa MARINDA ndio mtakujuwa mpili pili na maua yake!
Kumbukeni ZA MWIZI NI 40, MTAPATIKANA TU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…