Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Rafiki wewe unaonaje?Duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki wewe unaonaje?Duh!
Mkuu, umesema kugawa ni tabia ya mtu.Rafiki wewe unaonaje?
Ni kweli Mkuu, ingawa ujumbe upo kinyonge sana, yaani wa kukata tamaa!Kuna wauza nyanya wanakula wake za watu kwa nyongeza ya nyanya moja tu tena masalo,kuna wauza duka nyongeza kidogo ya mafuta ya kula anakula mke wa mtu,kuna wauza mkaa nyongeza kidogo ya mkaa anajipigia mke wa mtu,bado kuna bodaboda,wauza mboga za majani nk.
Hivi vitu kumuomba Mungu upate mke anaye kupenda na mwenye hofu ya Mungu, la sivyo awe mwajiriwa au mama wa nyumbani ,kama akiwa anatamaa,hana akili wala hofu ya Mungu watamla tu.
DaaaahKuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.
Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
😂😂😂😂😂😂😂😂Duuh inachoma kama pasi.Kuna mtu alienda kazini kwa mke wake ,akawakuta machekibobu wanajadili tako la mke wake ,wengine wanadai mchina wengine wanadai OG.
Noma sana 🤣Kuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.
Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
Ni yale yale tu mazingira humshape mtu tabia. Huyo wa kazini ina mana wakati ujao hiyo ofa ili aipate tena atakigawa na muendelezo utakua ni huo huo. Na huyo binti mrembo akikutana na wenye pesa zaidi atakigawa tena. Ni tabia, wangeweza kukataa.Mkuu, umesema kugawa ni tabia ya mtu.
Nina swali, je kama ofisini mtu anataitiwa agawe ili apate posho au safari, huo ni ugawaji wa kitabia au mazingira yanamlazimu agawe ili afaidike kiuchumi?
Pia nina swali dogo la nyongeza, kama mwanamke/binti ni mzuri sana ama mweupe, au ana tako kubwa, watu wengi mno wanamfuata kwa pesa na mbinu mbalimbali na akagawa, hapo ni ugawaji wa kitabia au mazingira ya utongozwaji yamemlemea kutokana na urembo wake?
Pole sana. MUNGU akupe uvumilivu na mafanikio ya maisha mapyaMwaka Na nusu tangu yanikute unavyosema yamenitokea yote hivo hivo
Duuu! Atakuwa alianzisha valangati balaaKuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.
Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
Wahenga walishasema samaki mmoja akioza ni wote. Hawa wanawake waliooza ndiyo hawa hawa wanao wasukumizia na kuwashauri wanawake ambao hawajaoza wawe na mabwana wa makazini na hawaruki hakika wanakubali wakiona ndiyo maishaNadhani ni tabia ya mtu binafsi, usiweke wanawake wote kwenye kundi moja.
HahahaMke ni wangu akiwa ndani.
Akiwa kazini ni wenu.
Chezeni naye mkichoka atakuja nyumbani nitampa huduma zote kama mke wangu.
Kuku wangu manati ya kazi gani?
I mean huo uzi wa jamaaNipo Tanzania, huku nyanda za juu kusini.
HahaDuuh inachoma kama pasi.Kuna mtu alienda kazini kwa mke wake ,akawakuta machekibobu wanajadili tako la mke wake ,wengine wanadai mchina wengine wanadai OG.
Nimekuonea hadi huruma, umeongea kwa machungu sana 😢Mke ni wangu akiwa ndani.
Akiwa kazini ni wenu.
Chezeni naye mkichoka atakuja nyumbani nitampa huduma zote kama mke wangu.
Kuku wangu manati ya kazi gani?
Upo humu JF ila sikumbuki upo Jukwaa lipi! Sikumbuki hata "heading" ya huo Uzi.I mean huo uzi wa jamaa
Kwa maelezo yake, hakuanzisha valangati pale, ila aliachana na huyo Mwanamke, Uzi wenyewe upo humu ila nimesahau upo Jukwaa lipi na una "heading" ipi!Duuu! Atakuwa alianzisha valangati balaa