Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Maofisini ndiyo zilipo ndoa halali. Hiyo yako ni nyumbani wewe na mkeo .

Huku ni mke wa wenzako
.

Ndio maana Nchi yetu haipigi hatua kwa sababu kuna baadhi ya viongozi sio waadilifu.

Kama kiongozi aliye teuliwa anaweza kuisaliti ndoa yake kwa kufanya uzinzi, je unadhani kweli mtu huyo anaweza kufanya uadilifu?!!!
Binafsi kiongozi mzinzi/msaliti siwezi mwamini kamwe.
 
Nlichokigundua humu kuanzia mtoa mada na wengine mnaosupport ni kwamba mmet*mbewa sana wake zenu, Yani sanaa.

Sasa hivi mna trauma ya kuliwa kwa wake zenu,

Hapa mnatafuta unafuu kisaikolojia kwa kuwafanya hata wengine nao wajihisi wanat*mbewa wake zao makazini,

( Kuna ile kauli kuwa msiba wa wengi ni harusi ndio mnachokitengeneza hapa ili kujipa unafuu )



Be gentle, kuwa rafiki kwa mke wako,
Mfanye ajihisi amani ya moyo kwa 100%,

Usiishi nae kizee,

Mtengeneze mpaka adharau wanaume wengine yani akuone wewe ni mwamba siku zote na muda wote.

Mfanye awe addicted na wewe 100% ( Ataona hata kinyaa na kichefu chefu kuvuliwa chupi na dume lingine)
Mkifanya hivyo habari za kut*mbewa mtasikia kwenye radio.


Siku akikusaliti akat*mbwa hata kama ni kwa kubakwa atajiona ni mwenye hatia kubwa sana hapa duniani na ndio siku ambayo atajipeleka akhera kwa kitanzi.
Endelea kujifariji na pole sana mkuu
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
Mnaambiwa mtafute wanawake wa kuoa, ninyi mnaenda kutafuta Malaya na kuwaoa, yakiwapata ya kuwapateni mnakimbia mbio kuanza kulalamika na kutukana wanawake.
Mkitaka kuoa tengeni muda wanawake wa kuoa ili kuepuka kuoa malaya. Wanawake ni wachache sana, katika kila wanawake 10 kuna Malaya 8? Unadhani ni rahisi kuwapata hao wawili?
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
kataa ndoa wanazidi kupata point
Ni hivi. demu popote alipo anapigwa tu
nishaona demu anapigwa kwenye gari la abiria na ni mke wa mtu
wengine wanapigwA hadi misibani
Ukiamua kuoa, jua hizo risk zipo tu
 
Ipo hivi broo harakati za ofisini . Ukipewa utamu ukasusa eti kisa unaheshimu mke wa mtu hamna rangi utaacha kuona. Kwanza unaonekana mshamba alafu wataambiana .

Hakuna kitu kibaya kama staff mwezako ( kike/ mke wa mtu) aje akukumbatie kwa makusudi au ajiachie tuu basi kukukomoa , alafu wenzake wa muambie linda ndoa yako na uwe na aibu then yeye ajibu mbele za wenzake huyu na mjua hana sumu

Au aseme kwani huyu nae ni mwanaume

Nb. Hebu ingia huko maofisini alafu uje usome tena hii comment yako
Hapo ujinga tuu siyo kila shimo lazima uingie, kusema no haikupunguzii kitu, sasa wewe hata wakisema unapungukiwa nini?.
 
Back
Top Bottom