Hakika Ruben, unachofanya sio comedy bali ni udhalilishaji kwa wanawake

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kinasa ameitwa sababu katajwa wazi, na clips zilionesha yuko nae.

Ko wasingeweza kumuita hakika pekee, watu wangehoji hapo.

Hii habari siion insta kina jumalokole kimyaaa
 
Na mambo ya sanaa sahvi ndy wanapitia humu humu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…