Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimemuanfollow na kublock kabisaa mbwa lileee
Achana nao wanakuonea wivuWewe shindwa na ulegee kwa jina la Yesu labda wewe ndio unapelekewa huo mfano wako ndio umeona unitolee mim ,usinitolee mifano ya kishetan mim shindwa
Hakika Reuben akiri kuliwa kwa 20KHivi nyie mnao comment kwenye uzi huu ni kwamba mpo semina hivyo mmelala sehemu moja na mkajikuta mnaendeleza maongezi yenu kwenye huu uzi au?
Maana naona kama sielewi chochote kile humu!!
Hili ni balaa zitoMashoga ni loyal friend sana
Yani wana roho nzuri pia nadhan ndo sababu ya watu wa kike kuwapenda
sanaHili ni balaa zito
Kuna wawili wanawatetea sana humu, na mada wanaanzishaHalafu hapa mjue mnampaisha yani ndo mnamuongezea wateja. Hawa watu tufanye kuwakaushia
Yeah naskia saa ingine wanapigwa 3some...mwanamke na gayNa si wanaunganishiana wanaume
Ova
Ajabu ni kwamba wanaofanya huo ushetwani ni wanaume...na nyie ndo mko hapa mnawashangaa... 🤪🤪🤪🤪Duh
Ova
Dunia uwanja wa fujoAjabu ni kwamba wanaofanya huo ushetwani ni wanaume...na nyie ndo mko hapa mnawashangaa... [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
sasa why wanaume wafanye hivyo kuwashawishi??Dunia uwanja wa fujo
Kuna watu wanapesa na washavurugwa,sasa wale wenye tamaa ndiyo huingizwa huko
Watu si wanataka kununuliwa magari,kupangishiwa majumba ,safari za dubai +shopping
Ova
Huyo dada mpumbavu sanaSasa najiuliza wamewaita kwa kosa gani niliona fatma karume anasema kumuingilia mwanamke kinyume na maumbile ndio kosa
Si tamaaa zao kutaka vitu rahisisasa why wanaume wafanye hivyo kuwashawishi??